😂😂😂 wengi wanasema manengelo mkorofi.. ila kidg its true.. nikimpata mpole nitamsukumizia ndani daily... sijui utata wangu upo wapi kwakweli... thou mie ni mtu mwema kbs...
i thnk malezi..hii mm naiamini..wakat nakua mwenzangu akinipiga nikienda kushtak kwa mama anasema na ww kampige..bas mm ni mwendo wa REVENGE TU😉😉...Too bad.. nimekuja gundua hyo ni mbya..nw wanangu wakipigana najivika uhakimu na kuwapatanisha..ambaye anakataa kupatanishwa namwambia sitakuletea zawad... malezi magumu sana jaman