kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Ka hamisa kenyew kameombewa misaada kwenye mitandao na mange watu wamechanga miamia zao, hako kamenda marekan kugawana pesa na mangehuyo hamisa mnavyo mzungumzia utafikir
hata alikua akiwekwa front page na mond
......
Nmechekaa. Una apply vipi sasa kwa masela wako kwa mfano?
Hapa mimi kicheko kama choote. Huyo anaendelea kukufaa hadi leo. Halafu wanao pia wanakuona mama mnoko. Yaani na wao wataiga unoko wako pia.i think she was the best..bas tu naaply kwa wanangu zile discpline nilzokua napewa nawapa wanangu...lol!
mwaka jana nilienda naye mkoa fulan kwa harusi..nilijuta..alikua ananitreat km nipo secondary vile...nilikua nanuna..hapo mie nataka kuwa kama MAndela (uhuru kama wote)..akanichenjia balaa😂😂akaniambia unaenda wapi usk huu?ukipata majanga mumeo nitamwambia nn mm unataka anifunge😂😂😂😂 bas nikarudi kwenye mstari
Sijajua mkuu,kuna jamaa anaitwa mtanashati atakuwa anajua vizuriHuyu mmama ni kabila gani ?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Sio kweli, embu vaa wewe tukuone
Duuu Maza ako mjeshi[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]i think she was the best..bas tu naaply kwa wanangu zile discpline nilzokua napewa nawapa wanangu...lol!
mwaka jana nilienda naye mkoa fulan kwa harusi..nilijuta..alikua ananitreat km nipo secondary vile...nilikua nanuna..hapo mie nataka kuwa kama MAndela (uhuru kama wote)..akanichenjia balaa[emoji23][emoji23]akaniambia unaenda wapi usk huu?ukipata majanga mumeo nitamwambia nn mm unataka anifunge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas nikarudi kwenye mstari
Marahaba walahiUmeona ehh
Shkamoo Pesaaaa walahi
Atakuwaje tofautiJuma Kalole ni kuwadi wa mamj Dai,na amempatia Mwarabu hapa Dubai,ndiyo kamletea aje mkaza,angalia ataporudi Huko Bongo,atakuwa tofauti
Nakuona ushawaza[emoji16]Huyo chini aliyevaa suruali ndo huyo mama??
😂😂Duuu Maza ako mjeshi[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara nyingi wale tuliowaweka nyuma au kuwadharau wanapopata mafanikio huwa tunaumia sana, ni nature ya binadamu.huyo hamisa mnavyo mzungumzia utafikir
hata alikua akiwekwa front page na mond
......
Dah mkuu,siwezi kuwatamani wa mama aisee,wakati nyie mabinti mpo [emoji16][emoji16]Nakuona ushawaza[emoji16]
[emoji23]Marahaba walahi
NakaziaMara nyingi wale tuliowaweka nyuma au kuwadharau wanapopata mafanikio huwa tunaumia sana, ni nature ya binadamu.
huyu mchele-mchele kalipiwa room yake au analala room moja na Diamond??Sandra kaenda na watoto wake Dubai diamond na kaka yake shamte uyo muuza mchele pozi lake tu lina mashaka