Mama Diamond afunga Instagram kwa muda, wadau wamuomba Lundenga ampokee kwenye Miss Tanzania

Money is source of all evil! Discuss with vivid examples [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hahahahahaaaaa nilipoona heading tu nilijua ni toto langu tundu limeshatupia mambo.

Honey umepita huku?Naona mwanetu anataka kukuharibia kibarua chako madale
cc The bold
Naona mtoto wetu amechoka kula soseji anataka Mzee wake kibarua kiote nyasi turudi kwenye unga robo maharage ya kupima..
 
Du Nipo kwenye Daladala alafu nimesimama nimeshindwa kabisa kutema hayo mate ningezua ugomvi humu.

Kwani wewe hujawahi kusikia kabisa hizi habari?!

sijawahi mkuu

mashart labda au ndo infedelity ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…