mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Ficha ujinga wako umeumia sehemu gani alivo vaa hivo kuna nguo zimeandikwa za wabibi na vijana[emoji53] [emoji53] [emoji53]umeshasema dada wakivaa hivyo hatushangai sasa huoni kama huyo ni Bibi?!.
Kwa hiyo omy anamchoresha 7 huyo bibi?Ommy Dimpoz alisema hamjibu Dai kwa maneno mengi lakini asishangae kuna siku anaweza kumwita baba wa kambo.
Mama mondo punguza jazba basiKuna ubaya gani mbona yuko vizuri tu dadazenu ambiance bar wakivaa hivo hamshangai south uzunguni sio tandale acheni ale bata hela zake kuna anae mlipia kunawatu waovu humu kuliko hata iyo sket mnayo ona fupi mwisho wa siku hamjui muda gani anaongea na Mungu wake na anatubu saa ngapi msimpangie aishije kwani mnampa pumzi nyie #kokoro#
Tutumie picha ya mama ako akiwa amevaa kama huyo bibi hapo juu.Ficha ujinga wako umeumia sehemu gani alivo vaa hivo kuna nguo zimeandikwa za wabibi na vijana[emoji53] [emoji53] [emoji53]
Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app