Mama Diamond asema nyumba ya Madale ni yake

Mama Diamond asema nyumba ya Madale ni yake

OGTV

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2016
Posts
353
Reaction score
167

kumbe diamond alimpa mama yake nyumba..nice​
 
Dalili mbaya hii Mond akitangulia kwenye Familia kitanuka bado Esma naye Katika hizo Sita naye atasema naye kuna moja kapewa.
 
Wake kwa waume wamejazana ndani ya swimming pool, ole wake sasa mmoja ivuke [emoji87]
 
Hongera yao mwaya [emoji125] [emoji125]
 
Huyu mama angeolewa tu, haya yote yasingemsumbua yakushindana na mke wa mtoto wake na mjukuu. Kituko anaongelea maneno kwa kusimamia ni yake duh ana tamaa sana huyu mwanamke, angesema jina la nani basi as naamini sio lake. kituko haswaaaa

Diamond alishasemaga kwa kumuuliza Tiffah akirekodi video kama anapenda nyumba yake?
 
Anagombea matofari akifa cjui ataenda nayo nyumbani au atabakia nayo diamond ivo sio vitu vya kuongelea kabs mama aache ujana kuzunguka na mwanae uku na huko mara nyumba yng sijui nn ni aibu hii sasa
 
Hahaha
Familia ya Mondi ni shda
Zari naye alivo ona mama ana mkaba sana madale aka mwambia jamaa anunue nyumba South Africa, washagawana hapo. Ndio uanaume huo lakini safi
Kumbe kanunua nyumba South hati umeiona?
 
Kiboko yao mganda kanunuliwa nyumba karibu na baba watoto wake wa kwanzabili walee zao watoto! Sasa sijui nani zaidi.
 
Hii familia kila mtu staa....kuanzia bibi mtu mpaka Wajukuu

Tutaona mengi.
 
Back
Top Bottom