Mama ni mmoja,,ila wanawake wa kuzaa nao ni wengi,,,,Huyu mama mi ningezaa na daimond angenitambua aisee,,hamisa mpole sana mi angejuta aisee
hajui kama kwenye nchi amebeba tela la watu....angelikuwa anaishi peke yake sisi tupo sayari ingine tungemwacha tu angejijua mbele ya safari...lakini sisi tumo humohumo tuache tu mtu asishauriwe ili tuangamie wote? yeye ni malaika hakosei?Nchi yeyenyewe mtu mmoja hatak kuambiwa kama tofali limekaa pemben nyumba itapinda mwishowe iwabomokee mfie ndani
Hujachelewa bado, kitu kiko hot we kazae nae tu keshasema ni kuwatembezea tuHuyu mama mi ningezaa na daimond angenitambua aisee,,hamisa mpole sana mi angejuta aisee
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]Mwacheni mama ale ujana!maana inaonekana akiwa na miaka 13 tu akazaa na kuanza kulea sasa hakula ujana vizuri lazima kila sehem atataka ajulikane yumo!akishazaa tena atatuliza mtori
[emoji23] [emoji23]Nchi yeyenyewe mtu mmoja hatak kuambiwa kama tofali limekaa pemben nyumba itapinda mwishowe iwabomokee mfie ndani
Nakusalimia tu, hv mshindi wa ile ligi bado hajapatikana?Ukiwa na mama mkwe kama huyu jiandae kuumwa kichomi kila siku
Umeona eeeh, mashauzi kibaoHuyo RUBA nae akitulize
Anaangaika kama vile D ndio alimtoa ubikra..
Safi kbs.Chuchunge kazidi,akome