kwa habari zilizotufikia za chini ya kapeti inasemekana tayari pale madale wameshatafuta ushauri wa kisheria ni jinsi gani watamtia hatiani kijana pozi kwa pozi,
kwa kile kinachodaiwa ni post yake ya jana iliyochafua hali ya hewa huko instagram
chanzo pia kinadokeza zoezi hilo linaratibiwa kwa karibu sana na DAB
ambaye ameoneka kuchukizwa sana na post ile
mnaonaje safari hii kijana wetu kipenzi atasalimika kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio ina maana bi. Mdash kapigwa mashine na ommy?Anamshtaki na ' Kubanduana ' nae au kwanini ametoa ' Siri ' yao ya ' Kubanduana ' hadharani? Mama Diamond ni Kielelezo tosha cha akina Mama baadhi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wanaopatikana katika Jangwa la Kusini mwa Afrika.
Kwa hio ina maana bi. Mdash kapigwa mashine na ommy?
Alooh sio mchezo...Unauliza Chupi matakoni?
C ana zero kwanini sasa mambo yooote yakilofa asihusishwe?wabongo bhn yaan kila kitu mnamsingizia huyo mkuu wa mkoa vingine havina hata fact
Sent using Jamii Forums mobile app
Bhasi ommy ni fagio la chumaKwa hio ina maana bi. Mdash kapigwa mashine na ommy?
Hawezi akathubutu tenaHivi Diamond kaenda tena studio kufanya versi nyingine?
-Ndumilakuwili-
Nani huyo?DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?
Dah nimeshangaa mno, kama ni kweli basi the woman is cursed...Hana tofauti na mama ubaya