mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,186
Akitoa verse nyingine na Ommy Anatoa picha nyingine na kasema ya safari hii itakuwa ya chumbani.Hivi Diamond kaenda tena studio kufanya versi nyingine?
-Ndumilakuwili-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitoa verse nyingine na Ommy Anatoa picha nyingine na kasema ya safari hii itakuwa ya chumbani.Hivi Diamond kaenda tena studio kufanya versi nyingine?
-Ndumilakuwili-
mkuu weka kapicha tuenjoyIla picha bmkubwa kashikwa titi sasa ukashtaki nn?
Hahaahah.mkuu weka kapicha tuenjoy
Dunia ya Leo ni ya tofauti mkuu hata angeifuta na watu wasingepata screenshot bado ingekua rahisi kuiretrive hio postUjinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahahahaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Yaani akili za Bashite afadhari ya za Le Mutuz.
Aende wapi anatafuta msaada wa mwanasheria, hiki kisa kinanikumbusha mzee wa kuamsha dude wanamchokoza akijibu wanadai mtu wa MUNGU hapaswi kujibu vile. Diamond amekuwa akimchokoza sn pozi kwa pozi.Hivi Diamond kaenda tena studio kufanya versi nyingine?
-Ndumilakuwili-
Tunaishi mwishoni kabisa kwenye muda wa hii dunia. Mungu atunusuru kwa kufurahia ushetani!Kumbe li Dimpoz lijanja eeee...
Yaani limemtia mama yake DomoKubwa
Oh oo oo!!![emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Akitoa verse nyingine na Ommy Anatoa picha nyingine na kasema ya safari hii itakuwa ya chumbani.
Nakubaliana na wewe.lakini je katika ile post tusi Ni lipi kisheria.je kusema Mimi ni baba yako ndio tusi.labda ni tusi jipya mjini DSM.Dunia ya Leo ni ya tofauti mkuu hata angeifuta na watu wasingepata screenshot bado ingekua rahisi kuiretrive hio post
Umbea na udaku ndio chakula kikuu cha vijana wa kitanzania.DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?
Umenena vyema,kunabpopoma lingine lakiume nililiona siku ya tuzo za ndondo cup,lilivua sarawili likabaki na kigauni halafu likawa linakata viuno mbele ya Rizi one.Anamshtaki na ' Kubanduana ' nae au kwanini ametoa ' Siri ' yao ya ' Kubanduana ' hadharani? Mama Diamond ni Kielelezo tosha cha akina Mama baadhi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wanaopatikana katika Jangwa la Kusini mwa Afrika.
Kuna ile watu kutamani tu.. kuongelea watu na kuandika upupwu.
Bado. Hawezi. Ommy kasema ile ni trela.Hivi Diamond kaenda tena studio kufanya versi nyingine?
-Ndumilakuwili-
Daaaaa kizazi changu kinaangamia kwa kukosa maarifa pozi kwa pozi ndo babu wa tifakwa habari zilizotufikia za chini ya kapeti inasemekana tayari pale madale wameshatafuta ushauri wa kisheria ni jinsi gani watamtia hatiani kijana pozi kwa pozi,
kwa kile kinachodaiwa ni post yake ya jana iliyochafua hali ya hewa huko instagram
chanzo pia kinadokeza zoezi hilo linaratibiwa kwa karibu sana na DAB
ambaye ameoneka kuchukizwa sana na post ile
mnaonaje safari hii kijana wetu kipenzi atasalimika kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
acha wapiganeeee
na Ommy nae akimshtaki Domo kwa kumuita shoga live redioni na kwenye nyimbo mtu asilie....
acha wengine tule ubuyu tu...
Hata akisema baba yako namdate mama yako, napo si kosaKimaadili ommy amekosea kumuhusisha mama mondi na ugomvi.ila kisheria je kwenye post ile kuna tusi lolote kisheria.je Kusema Mimi ni baba yako ni tusi.mahakamani ommy anaweza kujibu nilisema Mimi.ni baba yako nikimanisha baba yako kimziki.ni lugha ya picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah hapo kweli kutakua na mzozo wa kisheria but law ni field ya ajabu sana ....law is full of technicalities that screw up justiceNakubaliana na wewe.lakini je katika ile post tusi Ni lipi kisheria.je kusema Mimi ni baba yako ndio tusi.labda ni tusi jipya mjini DSM.
Sent using Jamii Forums mobile app