Tetesi: Mama Diamond kumshtaki Ommy Dimpozi

Tetesi: Mama Diamond kumshtaki Ommy Dimpozi

Dimond na Familia yake wamepingwa Instagram wakienda mahakamani watapingwa tena akili ziwakae sawa.

Ugomvi wanaanzisha wao mwisho wanakimbilia police.

kama wana uwezo wa kuthibitisha kuwa "Mimi ni baba ako" ni tusi basi waende mahakamani.
 
DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?
Umbea na udaku ndio chakula kikuu cha vijana wa kitanzania.
 
Anamshtaki na ' Kubanduana ' nae au kwanini ametoa ' Siri ' yao ya ' Kubanduana ' hadharani? Mama Diamond ni Kielelezo tosha cha akina Mama baadhi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wanaopatikana katika Jangwa la Kusini mwa Afrika.
Umenena vyema,kunabpopoma lingine lakiume nililiona siku ya tuzo za ndondo cup,lilivua sarawili likabaki na kigauni halafu likawa linakata viuno mbele ya Rizi one.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa habari zilizotufikia za chini ya kapeti inasemekana tayari pale madale wameshatafuta ushauri wa kisheria ni jinsi gani watamtia hatiani kijana pozi kwa pozi,

kwa kile kinachodaiwa ni post yake ya jana iliyochafua hali ya hewa huko instagram

chanzo pia kinadokeza zoezi hilo linaratibiwa kwa karibu sana na DAB
ambaye ameoneka kuchukizwa sana na post ile

mnaonaje safari hii kijana wetu kipenzi atasalimika kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaa kizazi changu kinaangamia kwa kukosa maarifa pozi kwa pozi ndo babu wa tifa
acha wapiganeeee


na Ommy nae akimshtaki Domo kwa kumuita shoga live redioni na kwenye nyimbo mtu asilie....

acha wengine tule ubuyu tu...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimaadili ommy amekosea kumuhusisha mama mondi na ugomvi.ila kisheria je kwenye post ile kuna tusi lolote kisheria.je Kusema Mimi ni baba yako ni tusi.mahakamani ommy anaweza kujibu nilisema Mimi.ni baba yako nikimanisha baba yako kimziki.ni lugha ya picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akisema baba yako namdate mama yako, napo si kosa

invest what you are willing to lose
 
Sababu za kumshitaki??kama ni hii habari chini basi hazina mashiko na wasijisumbue! Kwani hapo sheria ni kutafsiri sasa watakuwa wametafusiri vibaya.
bff189f10564154dc6abbdda89fffa8c.jpg

fce8cf4fa14fac45f9d86264c05a8ae3.jpg


Samsung SH 8 Mobile Traveller
 
Back
Top Bottom