Anataka akadhibitishe mahakamani lini alikula tunda lake.!Anamshtaki na ' Kubanduana ' nae au kwanini ametoa ' Siri ' yao ya ' Kubanduana ' hadharani? Mama Diamond ni Kielelezo tosha cha akina Mama baadhi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wanaopatikana katika Jangwa la Kusini mwa Afrika.
Ila hajamtaja jina ukumbuke lkn kwa ommy na picha kaweka so ushahidi upo waziacha wapiganeeee
na Ommy nae akimshtaki Domo kwa kumuita shoga live redioni na kwenye nyimbo mtu asilie....
acha wengine tule ubuyu tu...
Nani mkuu wa mkoa kat ya dai na pozi kwa poziwabongo bhn yaan kila kitu mnamsingizia huyo mkuu wa mkoa vingine havina hata fact
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema,kunabpopoma lingine lakiume nililiona siku ya tuzo za ndondo cup,lilivua sarawili likabaki na kigauni halafu likawa linakata viuno mbele ya Rizi one.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anataka akadhibitishe mahakamani lini alikula tunda lake.!
Asee,hilo jamaa ni la hovyo hovyo kabisa.Huyo ' Jamaa ' nina Mshikaji wangu mmoja anaishi nae huko aishipo anasema ni ' mwendo ' fulani hivi halafu ' anabanduliwa ' mno Mkewe hadi Watoto zake wawili kati ya Watatu alionao ' Wanamume / Masela ' wamemsaidia kuwaleta duniani.
Unamsikitikia ninMaskini bi.sandra!
....mama enu ndio kishaliwa...We nae upo mji gani?!
Alieanzisha Maneno ni nani kati ya Dimond na kina Ali?!
Mmekoroga mambo yamewashinda mnatapatapa sasa....Vumilieni tu Mama Enu ndio kishaliwa
Mkuu upo deep!Wa kukataa kama ' kabanduliwa / kakanywagwa / kadinywa / katinduliwa ' na Ommy Dimpoz.
Yaani nimejitahidi kurudia rudia lakini code yako imenishinda ebu irahisishe kidogo nipate mwangaHuyo ' Jamaa ' nina Mshikaji wangu mmoja anaishi nae huko aishipo anasema ni ' mwendo ' fulani hivi halafu ' anabanduliwa ' mno Mkewe hadi Watoto zake wawili kati ya Watatu alionao ' Wanamume / Masela ' wamemsaidia kuwaleta duniani.
Kwani ni dhambi Ommy kumgonga mama yake Diamond?Ila hajamtaja jina ukumbuke lkn kwa ommy na picha kaweka so ushahidi upo wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kumdate kiswahili chake Si ndio kumla JAZA UJAZWE!Hata akisema baba yako namdate mama yako, napo si kosa
invest what you are willing to lose