Asante sana kwa kusikiatumekusikia
Mkuu mfuatilie inst. Mama niwe wazi kwa maadili Yale angenizaa ningemkana mswahili hatari , na Nadhani akina diamond Ni tabularassa familia nzimaMkuu Embu eleza vizuri tabia ya huyo mama, nataka kujua zaidi japo mimi pia sio shabiki wa domo
Ni PM ya mama Wema kwanzaMwenye namba ya huyo bibi, ani PM. Nina iman machine bado iko bomba
Unaweza kutoa Mswahili Uswahilini, lakini huwezi kutoa Uswahili kwa Mswahili. Hata umpeleke Washington DC umpe utajiri wa Oprah bado ataishi Kiswahili.Yani huyo mama anadhani na yeye ni msanii kama mwanae
HIVI ZARI ALIEACHA MUME NA WATOTO NA KUJA KUZINI TZ NANI WA AJABU.MUACHE MAMA WA WATU WIVU WAKO TU UTAKUUAMkuu mfuatilie inst. Mama niwe wazi kwa maadili Yale angenizaa ningemkana mswahili hatari , na Nadhani akina diamond Ni tabularassa familia nzima
HAO WOTE ULIOWATAJA ULISHAWAONA WAKE/WAPENZI WAO MITANDAONI WAKITUKANA MASHABIKI WA WAUME ZAO?Wizkid, Ali Kiba , Jose chameleon, Fally Ipupa, Ferre Gola, AY , Yemi, Davido, AK mbona mama zao hawatukani na kujivua nguo kama sanula
Unataka aniburudishe? Wewe koboko hupendi ujingakhaaa.. sasa we unamfuatilia huyo mama ndio muimbaji.. ndo anapandaga strjini kukuburudisha? .. kwanini usi concentrate kwa diamond tu.
hata hvyo usipomshabikia sisi tutafanya hvyo..
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
ExactlyUnaweza kutoa Mswahili Uswahilini, lakini huwezi kutoa Uswahili kwa Mswahili. Hata umpeleke Washington DC umpe utajiri wa Oprah bado ataishi Kiswahili.