Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Hana tu adabu
Sasa hivi ninayo kubwa kweliiHivi Mama Sabrina chura ipo?[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa kweliTandale na adabu wapi na wapi
Mirungi sio bangi..namjua sana! msiomfaham ndio mnapata shida..MTU anaeeza kuvua blauz Na kubaki Na sidiria mbele ya kundi la vijana..Leo mnamshangaa!Uyo mama tatizo anavuta bange
Nataka tuingie mkataba wa makinikia![emoji28]Sasa hivi ninayo kubwa kwelii
We unaewaza ya maana ushatufanyia nini hii nchi zaidi ya kuja kukoment celebrities forumnaona imekuingia acha kuwaza maisha ya watu jitu zima linawaza ujinga.....full
Rafiki chura ya kuvaa na kuvuaNataka tuingie mkataba wa makinikia![emoji28]
Hamisa sijui kwa nini anasumbuka na huyu mchafuzi. Mie naomba kuuliza ni pesa au mapenzi maana dahHamisa hii legue waachie watandale mnakoenda ni kuaibishana.
Akili ka hizo wanazipataga baadae..sahivi kupe kapata ng'ombe..Hamisa sijui kwa nini anasumbuka na huyu mchafuzi. Mie naomba kuuliza ni pesa au mapenzi maana dah
Hamisa you are beautiful achana na uswahili tunza watoto wako jenga maisha yako jitunze. Yupo mwanaume aliyeumbwa kwa ajili yako sio mondi na ukoo wake 'malimbukeni'
You can do better than huu ugoro
@Mama KanumbaMa-maza bingwa wa kusafiria nyota za watoto. Sipati picha kama kila mama mwenye mtoto al-maarufu angekuwa mbwatukaji. sisi akina hohehahe tungechimba chini tujifukie
HatariMirungi sio bangi..namjua sana! msiomfaham ndio mnapata shida..MTU anaeeza kuvua blauz Na kubaki Na sidiria mbele ya kundi la vijana..Leo mnamshangaa!