Alianza na nikifa kesho akaja na je utanipenda ? Inayofuata ni usia sasa safari inakaribia ya kanumba yanajirudia
Anaimba kufakufa tu tatizo nn kashakosea mashariti nini??Ushaanza kuweuka, kwahiyo akiimba maadui wake wote magasho kiba ataanza kutatuliwa linda??? maana inaonekana kila atachoimba kitatokea hahahahahaha
Pepo mchafu Ushindwe
Anaimba kufakufa tu tatizo nn kashakosea mashariti nini??
Inaonyesha wewe ni mtaalamu sana wa hivi vitu hadi wajua kuna masharti,vp kiba kapewa masharti gani ????Anaimba kufakufa tu tatizo nn kashakosea mashariti nini??
Inaonyesha wewe ni mtaalamu sana wa hivi vitu hadi wajua kuna masharti,vp kiba kapewa masharti gani ????
Masharti mengine aliyopewa ni kama kubinua mku.ndu wakati wa show na kukatikia mashabikiInaonyesha wewe ni mtaalamu sana wa hivi vitu hadi wajua kuna masharti,vp kiba kapewa masharti gani ????
Video nimeielewa vya kutosha but audio kwangu ziiii, sijui vile nimezoea za kuchezeka!!??
Sasa kama unataka nyimbo za kuchezeka huwezi kusema umeuelewa huu... Huku ndiko alikotokea Diamond, na ndio tuliko mpendea saaaana kabla hajaanza na za kuchangamka kama Moyo wangu...! Mashabiki tunahitaji tucheze, na tupate kitu cha taratiiibu cha kuimba at the sama time maana sio kila muda unakuwa na mood moja
Na huu wimbo umemuongezea sana mashabiki hasa wa kike, suala la kuimba na kuwafanya hadi wansume walie sio dogo kabisaa..
Shikamooo da ngote ukweli uw a ukosei umelenga maisha yanavyo kuwa after kufulia na hili limekuwa sugu sana marafiki wa Leo ukiwa nazo ndo mahadui wako Wa kesho
Nadhan kwa kuwa Yale maisha kashayapitia ndio maana haikua kazi kwa Kama diamond Ku express feelings zake, yani dah katishaa
Masharti mengine aliyopewa ni kama kubinua mku.ndu wakati wa show na kukatikia mashabiki
Babu tale si alisema clouds au umesahau??
Huu unafiki umevuka mipaka,nakujua vizuri hunipi shida.....
Poleeeee
Umeona hilo gap kwanza hata uhesabu za Facebook Twitter tunaongoza sema fitna tuKwanza kabisa kati ya tuzo huwezi kusema nituzo hizo kwahiyo hatukuipa uzito wowote waliokuwa wakipiga ni kwa kujifurahisha tu..!! binafsi sijapiga hata kura moja hapo..!!
Cha pili upigaji haukuwa wa insta pekee, ulikuwa ni insta, twitter, facebook, na website.. we umeleta insta pekee umeangalia kwingine??
cha tatu, mshindi haamuliwi asilimia zote na kura za mitandaoni kwasababu wapuuzi wengine wanaweza hata wakapigia jiwe kura kwa mahaba yao binafsi.. kiufupi bushman hakustahili hata kushindania hapo na tuzo ya stylish male artist ameshinda EDDY japo hamzidi diamond kwenye fashion hata kidogo..
Na jokate na kiba hahahaha wana ustylish upi??? kusema washindanena zari na diamond ni vichekesho tu hivii..
BUT VYOVYOTE VILE, kwa team wasafi hii kwetu sio tuzo na hata tungepata mia huwezi kuona hata KIFESI anapost coz haina hadhi ndio maana wengi wetu hatukuwahi hata kuhashtag..
MTVMAMA, MTVEMA, BET, na kuendelea ndio matawi hayoo
We mtu unadhani wao wanategemea kura yako tu kuamua pia na wao wanavigezo vyao baada ya kura, kama wewe unaamini ktk fitna hebu tuambie kiba kapitisha fitina gani aliyowafanya wandaaji wasiwaingize hata sauti sol wa nchini mwao kwenye hicho kinyang'anyiro cha tuzo za nzumari ?????@pwiloUmeona hilo gap kwanza hata uhesabu za Facebook Twitter tunaongoza sema fitna tu
Unadhani kwa wewe kutukana ndio kutamfanya DIAMOND awe chini na huyo kiba awe juu,kiba atakuwa juu kwa bidii zake si kwa nyinyi kutukana na hii inaonyesha jinsi gani mumenyooshwa mushakosa hoja za kimuziki mumeamua kutukana ili kujipunguzia maumivu. Muungwana hatukani mambo ya jukwaani yanaishia jukwaaniMasharti mengine aliyopewa ni kama kubinua mku.ndu wakati wa show na kukatikia mashabiki
Babu tale si alisema clouds au umesahau??