Mama Fei Toto: Fei aliwahi kula ugali na sukari Yanga

Kwahio hapa walaumiwe Arsenal?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Utopolo wasivyokuwa na akili watakataa Fei hawajahi kula ugali na sukari
 
Mama Fei ni mama wa Familia yote ya Yanga na wadau wote wa mpira kwa kutuzalia mchezaji muhimu wa mpira. Lakini amekosea sana mama kuomba huruma itumike katika maamuzi ya kesi ya mwanawe. Anasahau kuwa maamuzi ya kesi hii kesi ni muhimu sana na yanasubiriwa na wadau wengi sana wa mpira sio tz tu bali Afrika na dunia. maamuzi ya kesi hii yatatumika kuamua kesi nyingine nyingi za aina hii. Anasahau kuwa hata kule Simba kuna wachezaji wazawa ambao wanatamani walipwe mshahara mkubwa sawa na wageni kama Chama, Inonga, Baleke, Phiri, kanoute, nk. Wanafuatilia kwa makini maamuzi ya kesi hii. Mama amekosa mshauri makini asingeropoka kama vile kuhusu mwanae. Mwanae yuko kwenye mkataba halali na Yanga mpaka 2024, mkataba ambao mwanae alisaini akiwa na akili zake timamu. Watu wa Znz wasitumie uzanzibar kwenye kesi hii. Baada ya kuwa nje ya Yanga kwa miezi kadhaa sasa Yanga imedhihirisha kuwa ni kubwa kuliko Fei. Yanga imeendelea na unbeaten zake bila Fei. Yanga kwa sasa haimtaki Fei kwenye mafanikio yake bali itamng'ang'ania Fei ili kulinda heshima ya viongozi, wanachama, wachezaji na mashabiki wa Yanga tu baaaaasi!! hadi pale Fei na watu wake watakapofuata njia halali na salama za uhamisho wa Fei kwa mujibu wa taratibu za transfer za wachezaji.
 
Kama maisha yalikuwa mabovu hivyo kwanini alikubali kusaini mkataba mpya na Yanga? Huu ni uongo na upuuzi kwa wasomaji wa jf. Kila mtu mwenye akili timamu anahoji kwanini Fei aliongeza mkataba mpya na Yanga kama alikuwa akiteseka kama mama yake alivyosikika akisema. Ina maana Fei na mama yake wote wana mtindio wa ubongo basi.
 
MMku

Wazungu wameshatuzunguka wametoa copy ya Feisal....mmoja TFF mahakamani mmoja kambini!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], kama kweli vile aisee.. ngoja tuone mwisho wake
 
Kama Fei analipwa 4m anakula ugali na sukari hali ipoje kwa Muzamili kiungo punda mama yake anakula ugali na nini sasa!
 
Km unaskia uchungu kajifungue,unaweza kunambia kipindi yuko Jku alikua analipwa shilingi ngapi?[emoji23]
Labda Jku alikuwa analipwa 7m na inawezekana mama alikiwa anakula mabiliabi. Sasa kama ni hivyo angebakia hukohuko JKU
 
Mmoja anapanda Bodaboda Ni Tajiri mwingine ni Mimi na wewe
Kwahiyo tukubali kuwa kupanda bodaboda si mpaka uwe masikini.....hivyo fei kupanda boda akielekea mazoezini si kwasababu hakuwa na pesa
 
Labda Jku alikuwa analipwa 7m na inawezekana mama alikiwa anakula mabiliabi. Sasa kama ni hivyo angebakia hukohuko JKU

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza anamaisha mazuri huyo, ugali na sukari!! Inapendeza

Kutumia bodaboda kunaubaya gani kama mkataba wake haujazungumzia usafiri? Asiangalie matakwa yake aangalie mkataba wake.
Hata akienda mazoezini kwa kutroti ingekua poa pia
 
Unahama. Hoja sio ugali na mboga anayotumia. Hoja ni wewe kushangilia kufeli kwake.
Sijui na vigelegele unapiga? View attachment 2534923
Endelea kulialia kagonga mwamba tena. Soma uzi huu


CC Bantu Lady
 
Kajifungie chumbani upige vigelegele kwa ushindi uliopata.
 
Utopolo wana dhambi sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…