Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sisi ni wale wanaume tunaopenda kuona kipaji kikimnufaisha mwenye kipaji hata uzeeni.Nyie ndiyo wanaume mkiachishwa kazi, mnakuja kulia lia humu.
Huyu kaka ni mwanaume wa shoka. Hachagui kazi wala kitu cha kufanya.
Mnamfanya kama kumdhalilisha, ila ni bonge moja la mwanaume, popote ataishi.