4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
hiyo millon 4 mnaijua mchanganuo wake ? pili maisha ya vibarua yana siri nyng , mm nakula abt 1.....ila kuna muda nakosa nauli napiga lege Makonde to Morocco , sishangai kbsNimeangalia clip ya Baba ake na Fei toto. Mzee anakwambia hawajawahi kula ugali na sukari. Na maisha yao ya sasa yamekuwa bora ukilinganisha na kipindi Fei hajajiunga na Yanga.
Waliomdanganya Fei, peponi hawaendi [emoji28][emoji28]