Mama Feisal jitokeze mbele ya kamera uombe radhi Viongozi na Mashabiki wa Mpira kwa kuzungumza mambo ya uongo

Nimeangalia clip ya Baba ake na Fei toto. Mzee anakwambia hawajawahi kula ugali na sukari. Na maisha yao ya sasa yamekuwa bora ukilinganisha na kipindi Fei hajajiunga na Yanga.

Waliomdanganya Fei, peponi hawaendi [emoji28][emoji28]
hiyo millon 4 mnaijua mchanganuo wake ? pili maisha ya vibarua yana siri nyng , mm nakula abt 1.....ila kuna muda nakosa nauli napiga lege Makonde to Morocco , sishangai kbs
 
Me nilijua ni wahuni tu wametembelea mgongo wa Mama Fei, kumbe ndo mshua wa Fei kabisa yule? basi Fei akili atakuwa amechukua kwa mama yake..!
wanaume hatupend kuonekana wadhaifu hata km tunaumia
 
Usikute na wewe ni wale wale vichwa flat! Yaani mnaacha kula ugali na mboga, badala yake mnakula ugali na sukari!

Hivi hata madhara ya kula sukari hovyo mnayafahamu kweli!!
 
Usikute na wewe ni wale wale vichwa flat! Yaani mnaacha kula ugali na mboga, badala yake mnakula ugali na sukari!

Hivi hata madhara ya kula sukari hovyo mnayafahamu kweli!!
unakula bure ? inaonekana unakaa kwa shem , mikataba ya maofisi ina siri nying sn , ukute hata hiyo 4M halipwi , kuna maisha ya kweny Tv na maisha halisi , msikilize huyo mama , mbishie km unaishi nae nyumba moja km sio bas tulia acha uswahili
 
hiyo millon 4 mnaijua mchanganuo wake ? pili maisha ya vibarua yana siri nyng , mm nakula abt 1.....ila kuna muda nakosa nauli napiga lege Makonde to Morocco , sishanga
Huo mchanganuo sio shida za Yanga na hata hiyo yako 1, sio shida za boss wako. Unajua kwa nn?

Wakati mnaingia mkataba, wote mliona zinatosha. Mnachotakiwa ni kuomba maboresho ya mshahara na sio kujitoa akili
 
Usikute na wewe ni wale wale vichwa flat! Yaani mnaacha kula ugali na mboga, badala yake mnakula ugali na sukari!

Hivi hata madhara ya kula sukari hovyo mnayafahamu kweli!!
huyo Fei ukute kuna mengu huyajui anaogopa kuongea huenda yatawagusa hata walio nje ya mgogoro huu , hz story zikufumbue akili sasa
 
pamoja na hayo ila Fei ni mpumbavu... ni praqctically impossible kwamba fei alikua anakula ugali kwa sukari.
 

Kwa Huu Uharo Ulioandika Hapa Sina Shaka Kama Mpira Hujui Na Akili Pia Huna 🫢
 
unakula bure ? inaonekana unakaa kwa shem , mikataba ya maofisi ina siri nying sn , ukute hata hiyo 4M halipwi , kuna maisha ya kweny Tv na maisha halisi , msikilize huyo mama , mbishie km unaishi nae nyumba moja km sio bas tulia acha uswahili
Sasa kama hiyo milioni 4 alikuwa halipwi yeye, si angejitokeza hadharani na kutuambia alikuwa analipwa nani?
Halafu unaposema mikataba ya maofini ina siri nyingi; ni siri zipi hizo?

Na ujitahidi pia kupunguza ujuaji. Maana humu kuna watu wanaolingana hata na baba yako. Na hivyo kuwa na uelewa mkubwa wa mambo kuliko unavyofikiri.
 
Itapendeza akichutama apanue na miguu.
 
Hahahahaaa!! CCM inapenda sna mambo haya. Vijana kujadili
 
Bamia ukinunua leo zinaisha Ila sukari atakula hata siku 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…