Hivi mwalimu wewe mgonjwa?Huwezi pata mabadiliko yenye tija kama ukichagua watu wenye hulka FULANI ya wizi na ufisadi!!
Yeye angeendelea na wateule wa jpm ambao wangeendeleza ULE uchapa kazi wake!!
Angemtumia majaliwa kama focal point ya endelezo la mageuzi bila kujali hatma ya urais wake huko mbeleni!!
Yeye akakubali kuongozwa KINGI na wale wazee vijana!
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
Umenena !Huwezi pata mabadiliko yenye tija kama ukichagua watu wenye hulka FULANI ya wizi na ufisadi!!
Yeye angeendelea na wateule wa jpm ambao wangeendeleza ULE uchapa kazi wake!!
Angemtumia majaliwa kama focal point ya endelezo la mageuzi bila kujali hatma ya urais wake huko mbeleni!!
Yeye akakubali kuingizwa KINGI na wale wazee vijana!
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
Ulianza hivihivi kwa Kabendera, hadi akajikuta nyuma ya nondo, na maisha yake yakaharibika beyond repair,hili jina la MSAGA SUMU linakufaa sana uncleMkuu MSAGA SUMU embu usimsagie sumu ukamnyeshwa, kisha ukasingizia, sonona!.
Baada ya Tanzania kupata rais mwanamke wa kwanza kwa jina la Mama Samia, neno Mama ya capital M sasa ni synoname ya Samia, hivyo ukisema tuu Mama, then Mama ni mmoja tuu Samia, kama ilivyokuwa kwa Mwalimu ni Nyerere, Bikira kwa Wakatoliki ni mmoja tuu, Bikira Maria, hivyo acha kutuzeveza!.
P
Unafiki, kwanini wasiweke sheria kali kulinda rasilimali za nchi? Wanaogopa nini?Mama kidogo aanguke kwa presha, basi tokea tarehe hiyo mama amekuwa mtu wa sonona, usingizi umekataa kabisa, mpaka kaamua kutumia mvinyo kinyume na Imani yake.
Mkuu Capt Tamar, amini nakuambia, wakati nikileta hizi makala za jarida la The Economist kuhusu Tanzania humu jfUlianza hivihivi kwa Kabendera, hadi akajikuta nyuma ya nondo, na maisha yake yakaharibika beyond repair,hili jina la MSAGA SUMU linakufaa sana uncle
Maja Mnyama hata jiwe mwenyewe alikuwa anamuogopa!Nataman sanaa Maja munyama apewe nchi 2025 kusafisha huu ujinga wa kina nepi na kina February
Matumizi mabaya ya 'fasihi'. Heshima muhimu sana ndugu yangu.🙏🙏🙏Mama tokea tarehe 28.11 haujapata hata lepe la usingizi mpaka leo.
Moja ya 'wisemen' wa rais alimtonya mama akamwambia, "hivi mama unajua kuwa hilo daraja la Kibiti ungeamua kujenga madarasa basi ungepata madarasa 350 kwa kutumia force account, ambazo ni sawa na shule 18 za kuanzia"
Mama kidogo aanguke kwa presha, basi tokea tarehe hiyo mama amekuwa mtu wa sonona, usingizi umekataa kabisa, mpaka kaamua kutumia mvinyo kinyume na Imani yake.
Amekuwa anajiuliza hivi kwanini watu wangu wa chini wananihujumu kiasi hiki, au kwa vile mie ni mwanamama au kwa vile wanajua sijui kuhesabu matofali. Tumuombeeni mama yetu mpendwa.
Angalizo : Huyu ni mama Saidi wa Morogoro anayeongelewa hapa.
Mama tokea tarehe 28.11 haujapata hata lepe la usingizi mpaka leo.
Moja ya 'wisemen' wa rais alimtonya mama akamwambia, "hivi mama unajua kuwa hilo daraja la Kibiti ungeamua kujenga madarasa basi ungepata madarasa 350 kwa kutumia force account, ambazo ni sawa na shule 18 za kuanzia"
Mama kidogo aanguke kwa presha, basi tokea tarehe hiyo mama amekuwa mtu wa sonona, usingizi umekataa kabisa, mpaka kaamua kutumia mvinyo kinyume na Imani yake.
Amekuwa anajiuliza hivi kwanini watu wangu wa chini wananihujumu kiasi hiki, au kwa vile mie ni mwanamama au kwa vile wanajua sijui kuhesabu matofali. Tumuombeeni mama yetu mpendwa.
Angalizo : Huyu ni mama Saidi wa Morogoro anayeongelewa hapa.
He! Hii tumekubaliana wapi?Mkuu MSAGA SUMU embu usimsagie sumu ukamnyeshwa, kisha ukasingizia, sonona!.
Baada ya Tanzania kupata rais mwanamke wa kwanza kwa jina la Mama Samia, neno Mama ya capital M sasa ni synoname ya Samia, hivyo ukisema tuu Mama, then Mama ni mmoja tuu Samia, kama ilivyokuwa kwa Mwalimu ni Nyerere, Bikira kwa Wakatoliki ni mmoja tuu, Bikira Maria, hivyo acha kutuzeveza!.
P
Sio kila kitu ni mpaka mkubaliane expressly,vitu vingine ni kukubalika tuu impliedly!, unadhani kuna watu wowote tulikubaliana Nyerere aitwe Mwalimu, Mwinyi aitwe Rukhsa, Jakaya aitwe JK, Magufuli aitwe JPM na sasa Samia aitwe Mama?.He! Hii tumekubaliana wapi?
Maja munyama anaonekana kazi ya magu anaiweza sema Ile familia itampitisha kwel😄😄Maja Mnyama hata jiwe mwenyewe alikuwa anamuogopa!
Ndio jina la mtoto wake?For sure huyo ni mama Said Mkude
Na kungu manga...Mama Said ninayemjua mimi ni mpenzi sana wa Vant.
Ndio, yule aliyeoa KilokaNdio jina la mtoto wake?