Mama Hamisa asema anataka mwanae aolewe na Mzungu, Waafrika hawafai

Mama ameshatembea na waafrika wangap mpaka kufikia kusema wanalongolingo bara nzima, ameshatembea na wazungu wangap na wa nchi zip ambao wamempa ukaki juu ya swala la mapnz kwao?dah mkataa kwao....
 
Huyu Mama ana IQ ndogo sana, bila shaka alitumika sana
 
Duh.! Kumbe haka kasichana kana watoto wawili!
 
ulimbukeni unamsumbua mbona, wabongo tunaendekeza ulimbukeni wa kutukuza rangi nyeupe ka wao ndo wako perfect kwakila jambo.
 
Kweli, wazungu wanapenda wanawake waliozaazaa ma wanaume wengi, hasa micharuko inayopenda mabwana yenye pesa...
Mama mcharuko, mtoto mcharuko, tuwaombee wajukuu tu..
Tizama tabia za bibi zao, mama yao na baba yao =wajukuu sijui watakuweje
 
Kwa hiyo anahamasisha utengano kati ya mwanae na Mondi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…