Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Ushauri wa hovyoHata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno
Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha? Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu awe inspired kusoma kwa bidii
Usitangulize hisia mbelembele
Unapata unachostahili sio kile unachokipendaNi sawa pia ila mi ndo napenda hivo
mbona vitu vya kawaida kuachana tumeachana na wangapi mpaka sasa
Ur absolutely right... They're having negative perception about marriagePia wamama ambao hawajaolewa au wanaoishi kisingo Maza huwa hawapendi watoto wao kuolewa au kuwa na ndoa za amani au kama ndoa yake ilikua na matatizo.
Nyie hamjui mwanaume mwenye akili timamu akiamua kuoa huwa katuliza kichwaKwa ulevi na sigara sawa ila kwa hayo mengineyo nakupinga.
Usijidanganye dear kumbuka muoaji ndio anajua anamuoa nani sio muolewaji. Si ajabu huyo kaka na utayari wake wote akipewa go ahead akapiga u turn Moja hiyo ikamuacha Dada wa watu kwenye maumivu makali na majuto.
Angalia na uhalisia
una hoja sana mkuu🤝. “Muelewe hivyo hivyo”We unabidi umuelewe tu mama ako. Sababu hasa hawezi kukuambia. Muelewe hivyo hivyo.
Jamaa boya umemshika masikio, umesema umemkataza pombe?kwasasa ni kama ameacha tangu nimkataze hajanywa na wala hakua mlevi ivyo ni mnywaji tu
- mama hakuchaguliwa baba
-ninae kaka angu ila hamfikii wa lolote kwenye kujituma mpaka maendeleo huyu jamaa yuko mbele sana
jamaa yeye amesema tumpe muda ajithibitishe kuwa ni sahihi na anajitahidi ila mama hamtaki
mpaka biashara anataka kunifungulia ila mama hataki
Princess anatakiwa kuwa bandidu sio mara zote wazazi wako sahihiUkikutana na mazaangu sasa si ungechoka[emoji16][emoji16][emoji848]
Yaan nisingejipindua kukataa maushauri yake ningedoda[emoji38]
Kila mwanaume hamtaki sasa sijui alikuwa anamtaka Bill Gates [emoji848]
Mh sidhani km hili linawezekanaNa hapo yawezekana kijana keshalamba sukari ya mama so anakanya yai la kuku sema ndio hivyo mama anashindwa kumfungukia bint kwamba ni kiben teen chake kile kimeshamvua pichu
Uko sahihi na wale ambao ni wajane au wana muda mrefu wameachika na hajapigwa mashine wanakuwaga na vigubu vya kijinga kinoma, wengi wao ni kuvuruga tu hawana jema kwaoPia wamama ambao hawajaolewa au wanaoishi kisingo Maza huwa hawapendi watoto wao kuolewa au kuwa na ndoa za amani au kama ndoa yake ilikua na matatizo.
ili azae na sio kukomoana
aisee, sikusoma vizuri. Ila mie binafsi simshauri bidada kuendelea na huyo brother. Kuishi na mtu kwa matarajio atabadirika mbeleni ni hatari sana .Sasa national,dada kasema hana kazi wala biashara na jamaa ndo hivyo mama mkwe anamkataa,akisema azae na jamaa huoni huyo mtoto anaweza pata shida ya matunzo baadae jamaa akichoshwa na drama za mama mkwe?
aisee, sikusoma vizuri. Ila mie binafsi simshauri bidada kuendelea na huyo brother. Kuishi na mtu kwa matarajio atabadirika mbeleni ni hatari sana .
Je ni kweli?Ana vuta bangi/pombe
Katika maisha cha kuangalia ni 'Mindset' ya mhusika.-Hajui kuvaa sio mtanashati
Ye wewe mtazamo wako ni upi?Anatoka familia ya kawaida kama yetu kwahiyo hafai hatanisaidia chochote
Yani anataka kunifungulia baishara nijipambanie hata kabla hajanioa
ila anamuogopa mama na mimi ndo mshika dau
ila watu hawajui, wanakazana kusema bangi ooh havutii
sasa leo mama anasema kwanza kwao kuna zezeta baba yao atakua mchawi yani sababu haziishi jamani [emoji119] asubuhi kaniumiza sana mana nilimwambia hao wanaosema hafai pamoja na wewe mnajua mpaka hapa nilipo nmekutana na mangapi??? mnajua ugumu nmepitia kihisia mnajua nmepambana kiasi gani kupata mtu mwenye spirit kama yake nyie mnachoona ni muonekano! mkaka wa watu kanifanya hata shida ndogo ndogo sina! anajitoa muhanga hasa
nmemwambia hao wanaonisema nikikaa home sijaolewa watasema pia ndo mana nmeona nichukue kilichobora kwangu ama ni enjoy wakati huu..
ila akacheka kwa dhihaka na kusema we mpumbavu sana wakati huo mimi naongea kwa machozi
nmeumia sana kuona hajali kabisa hata jinsi ananiumiza. hio picha haifutiki rohoni mwangu ndio ikanifanya nianzishe hii mada nmeumia sana