Mama hamtaki Mpenzi wangu

mama atakuwa na sababu. Huenda naye alishapitiwa na huyo jamaa na hawezi kukwambia.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
That's my dogo[emoji11]

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 

Na wanawake wa humu wengi wao status za mahusiano yao ni za hovyo mnoo. Inawezekana wanamuonea wivu tu mwenzao. Princess Ariana wewe kama vipi endelea na mshikaji tu kama yatakuja kutokea yasiyo tarajiwa mbele ya safari basi utajiandaa kukabiliana nayo. Dunia hii ina

kutokea yasiyo tarajiwa mbele ya safari basi utajiandaa kukabiliana nayo tu, Kimsingi
 

Mama zetu wa kiswahili ni Materialistic mnoo. Akipelekwa Diamond Platnumz kwa huyo Mama atamkubali bila hata kujiuliza. Kumbe huyo Diamond Platnumz tabia mbovu zote anazo sema tu kwa sababu ana hadhi na pesa 😂😂😂😂
 
Sasa alimuoa huyo dada mtu?

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Mkristo R.c

Kama kuna kitu kitakachokuokoa apo ni kuingia kwenye dini yako mazima hakikisha unasali unabadilisha mwonekano wako kua muumini wa kweli usikubali mambo ya machafu ndani ya ndoa yako pia marafiki, tabia and etc, hata mambo ya ujana punguza au acha kabisa na hakikisha mume naye anaacha pia, jiunge kwenye magroup ya dini and etc alafu mwambie na uyo mchumba wako atubu na mfatane wote kwenye njia ya dini na mungu atawabarik mtatafta maisha polepole na mtapata amani ila kwa ivo ulivosema msipokua watu wa dini kuna uwezekano siku za mbeleni mkaja kupata shida sana.

Kumbuka ili historia ya mtu ibadirike kabisa inabid yankute ajute na achukie kabisa alikokua ila sio kubadirika kwa kua tu kakuona wewe ilikua ni vyema akabadirika bila hata uwepo wako yani sababu isiwe kisa wewe iyo ni WEAK REASON kumbuka alishawahi kua na mwanamke na wakaachana na wewe age yako siyo yakujaribu maisha unatakiwa uingie kwenye ndoa ukiwa unatambua unachokifanya usichukulie maskhara maana effects utazopata ndani yandoa kwa sasa zinaweza determine maisha yako yote yatayofata yatakua vipi mf MIMBA, MAGOJWA, SIFA MBAYA, ANGUKO, MUDA, UZEE. Ila kwa mwanaume ye vyakupoteza ni vichache kuliko upande wako.

KUMBUKA ANAVYOKUONESHA MAPENZI SAIVI HAITOKUA IVO MIAKA YOTE KWENYE NDOA YENU, usije ukawaza kwenye ndoa ndo mambo yatakua ivo ivo NO.

Dini itawasaidia sana kuwaongoza mtapokua mnakwazana na kukosana na mtapokua chini kimaisha haitowapa shida maana mtakua na amani na imani mungu ndo alieyetenda na ndo atawatoa kwenye ayo matatzo.

Byee.
 

Wazazi wangu walikuwa na elimu ya kawaida ila walipata watoto wa5 na wote tumesoma . wa mwisho yuko UDSM anamalizia degree yake.


NI WANGAPI HUMU JUKWAANI WAZAZI WAO HAWAJASOMA ILA WAO WAMESOMA


SI SAHIHI KWA MAONI YAKO HAYO
 
Wazazi wangu walikuwa na elimu ya kawaida ila walipata watoto wa5 na wote tumesoma . wa mwisho yuko UDSM anamalizia degree yake.


NI WANGAPI HUMU JUKWAANI WAZAZI WAO HAWAJASOMA ILA WAO WAMESOMA


SI SAHIHI KWA MAONI YAKO HAYO
Aah mi navoona ni kua mzazi kua na elimu au chochote kile lazima mtoto ashawishike mfano baba mwanasiasa kuna mtoto mmoja lazima ashawishike awe kama baba ake

Mama nesi lazima girl child awe inspire we call it 'GENERATIONAL TRANSITION'
 
Aah mi navoona ni kua mzazi kua na elimu au chochote kile lazima mtoto ashawishike mfano baba mwanasiasa kuna mtoto mmoja lazima ashawishike awe kama baba ake

Mama nesi lazima girl child awe inspire we call it 'GENERATIONAL TRANSITION'

Upendo ndo mkuu kuliko vyote.

Anaweza akaolewa na mwenye degree au Diploma na wakazaa watoto na wakaachana na watoto wasifikie malengo kama ya wazazi sababu ya malezi au shetani kuiingilia kati.


Ushaambiwa huyo jamaa ana biashara zake, kwahyo mtoto hawez kuwa mfanyabiashara?

yani mwanaume wa degree/diploma ndo aoe mwanamke asiye na elimu? kisa nini uchi au?, hata wanaume tunahitaji wanawake wa level yetu siyo chini sana

Huyo dada hana elimu hivyo akubali tu kuolewa.
 
Ni sawa pia mkuu haina noma
 
Umri wenyewe unaenda machweo,ukija kushtuka giza limeingia mwisho wa siku utampelekea mkwe mzee ambaye wanalingana umri na mama yako.
Kuna umri ukifika lazima mzazi na mtoto msikilizane
 
Beba mimba. Mama atatulia.

Kwa design ya mama yake sio wa kutulia hata akiwa na mimba. Kumbuka ashasema atawaendea hata kwa mganga ikitokea binti akaghairi kuachana na huyo kijana.
 
Duuu kweli nimeamini wa Afrika na wa Zungu akili zetu ni tofauti kwenye mahusiano, wazungu woa sijui niseme wajinga.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…