National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
aangalie thamani ya maisha yake tu. Usiweke maisha yako kwa mtu yoyoteNi kweli kabisa,huwezi ishi na mtu ukitegemea kuwa atakuja badirika.
Ila bidada yuko kwenye dillema,nampa pole kwakweli
mama atakuwa na sababu. Huenda naye alishapitiwa na huyo jamaa na hawezi kukwambia.Habari za saa hii wana Jf
Naomba msaada wenu wa mawazo juu ya swala hili, kama kichwa cha habari kinavyojieleza;
kwa miezi mi3 hii nmekua na mahusiano ya kimapenzi na kijana karibu na maeneo ninayoishi,
-Wote tumeishia 0- level kielimu
- Mimi binti wa 28 yrs Mpenzi ana 38 aliwahi kuishi na mwanamke kwa miaka kadhaa zamani akaachana na mwanamke wake baada ya kuachishwa kazi ( kampuni ilifilisika)
- Kwasasa ana biashara zake
-Anataka kunioa pale nikiridhia
Sasa tatizo linaanza baada ya mama kuhisi uhusiano baina yetu, anasema kijana hafai kwanza
-Ana vuta bangi/pombe
-Hajui kuvaa sio mtanashati
- Aliwahi kuishi na mwanamke
-Anatoka familia ya kawaida kama yetu kwahiyo hafai hatanisaidia chochote
- Hana mvuto mbele za watu
-Hana Cv nzuri hata nikimtambulisha
- Anahisi kaniroga ndo mana nmekua nae kimahusiano
-Kwanza anakaa maeneo ya karibu na nyumbani
-Hana hadhi ya kuwa na mimi
Sababu ni nyingi!!
Kwa kuliona hilo tukaamua basi ahame makazi tayari kashahama, mazingira yote tumeyafanya yawe mapya,kwa kila kitu cha hadhu anayoitaka mama,nmeshambadilisha huo muonekano kwa kiasi chake ili afanane na anavyotaka mama ila naona pamoja na kutaka aridhike ila kila siku anaanzisha sababu mpya ya kumkataa anasema anajitutumua tu ili anipate na pombe ameacha anipate akishanioa ntapata shida mana atarudi kwenye mambo yake yote!! Pia namdhalilisha kwa wamama wenzie kwa kuwa na mahusiano na jamaa
- Mama anasema yuko tayari kwenda kwa mganga yoyote akavunje mahusiano mana kwanza jamaa atakua kaniroga sio kawaida.
Sasa hapo nifanyaje wakuu? Maana naona nachanganyikiwa kila siku anaanzisha jambo jipya! ilihali nmemwambia mimi mwenyewe sijasoma! Kazi sina wala bishara yoyote na kijana wa watu ameridhia ana fanya kila jukumu lake bila kinyongo ila mama anasema anafanya mana hana hadhi ya kuwa na ww ndo mana inabidi afanye tu...
Kinachoniumiza ni hakuna siku amewahi niuliza changamoto za maisha yangu ya mahusiano. nmejaribu kumwambia wachumba wakija wakijua sijasoma/sina kazi wanagairi haelewi.. anasema umerogwa wewe
nikiomba space nitulize kichwa sipewi naambiwa mpaka utanielewa...
Nimepata feeling mama yangu ni Toxic /narcissistic mom ila nikieleza hisia zangu yeye ana cheka ndo ananiona kama mpuuzi..
Maana mimi nmemwambia kwanini tusimwachie Mungu tu kama Mungu hajapanga tutaachana tu ila kwa ridhaa yetu mengine tutarekebishana sitaki uwe kama unanipangia maisha ila haelewi kabisa , niko njia panda maana maisha nayaona machungu kabisa ni mimi ndo tatizo au mama? Nishaurini wakubwa kabla sijashuka presha nikazimika mana bi mkubwa kasema kama ntakufa nife mana ndo ilivyopangwa.
That's my dogo[emoji11]Nadhani umalaya ni nature/tabia ya mtu binafsi. Maana wapo wasio walevi au wavitaji, ila ni Malaya first grade.
Wapo wazazi ambao hawakusoma, ila watoto wao walifika mbali kielimu, ndio maana kuna shule na tuition. Wazazi wanatakiwa wawe committed kuhakikisha watoto wanapata elimu.
Huwa nadhani sisi wanaume ndio huwa tunatafuta wenzi, na nyie wadada mnatafutwa. Ana umri wa miaka 28, ameshasema wenye elimu wanamkataa, tokea akiwa early 20's. Soon at turn 30, then awe more stressed and depressed. Think like a woman in this.
Alaf kingine, elimu inawafanya watoto wapate roles model tofauti tofauti. Kati ya watoto 10, unaweza usipate hata mmoja atakayekwambia role model wake ni baba/mama yake.
Mapenzi ni hisia, why asitangulize hisia mbele?
Hapo mwishoni tumewaza sawasawaSamahani princess ariana mnaishi na Baba au ni single parent family? Hapo kuna kitu hakipo sawa kwa Mama yako na inawezekana kama familia yenu ni single parent family huyo Mama yako nae ana hisia za kimapenzi kwa huyo mwanaume wako.
Pole sana binti.
Ila epuka sana ushauri unaopewa na single mother's wa humu, wengi walishaachika hivyo nia na kauli mbiu yao ni "Kataa Ndoa" maana hawapendi kuona binti akifanya kile walichoshindwa wao.
Hakuna binadamu asiyebadilika hata km itachukua muda gani na km ni makosa yalitokea yanaweza rekebishwa. Hii namaanisha huenda jamaa yako alishawahi mtongoza bi. Mkubwa wako kabla hajawa na wewe ndiyo maana kakaza. Muulize vzr bi. Mkubwa wakooo
Wamama wengine nuksi sana. Hapo jamaa angakua tajiri hata kama anakunywa hizo pombe na kuvuta bangi huyo mamako wala asingeona tatizo. Hapo inshu kubwa ni kwamba jamaa hana hela na mamako anataka upate bwana tajiri ili akamilishe yale ambayo yeye alishindwa kuyakamalisha enzi zako alipoolewa na babako maskini.
Sasa alimuoa huyo dada mtu?Ariana utakuwa ni kazuri fulani hivi mama anaona you deserve better. Jamii ina expectations kubwa sana juu ya wasichana hasa wakiwa wazuri, msichana mzuri unatakiwa utembee na akili yako kila sehemu la sivyo jamii itakutoa kwenye reli.
Nina rafiki yangu anafanya kazi UN agency moja Dodoma, ananiambiaga hivi unajua kipindi nimeanza anza tu kazi nilitakaga kumuoa fulani? Huyo fulani ni rafiki yangu mwingine alikuwa pisi ya moto sana, enzi hizo. Nikamuuliza what happened…. Akasema mamaake alikataa, akanimbia kwa maisha yako huwezi muona “huyu” labda nikupe “yule” (dada mtu). Miaka imepita huyu rafiki yangu pisi kali ni single mother wa mtoto mmoja na uzuri wote kwishney anapambana na hali yake tu.
Katika situation yako unaweza kupata matokeo ya aina mbili, either upate mtu “bora” zaidi ya huyo kwa mujibu wa mama yako, au usipate mtu yeyote na ipo siku mama yako atakulaumu. Fanya maamuzi kwa makini ukiwa unajua kuna matokeo mawili yapo mbele yako.
Mkristo R.c
Hata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno
Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha? Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu awe inspired kusoma kwa bidii
Usitangulize hisia mbelembele
Yeye alimpenda mdogo mtu.
Aah mi navoona ni kua mzazi kua na elimu au chochote kile lazima mtoto ashawishike mfano baba mwanasiasa kuna mtoto mmoja lazima ashawishike awe kama baba akeWazazi wangu walikuwa na elimu ya kawaida ila walipata watoto wa5 na wote tumesoma . wa mwisho yuko UDSM anamalizia degree yake.
NI WANGAPI HUMU JUKWAANI WAZAZI WAO HAWAJASOMA ILA WAO WAMESOMA
SI SAHIHI KWA MAONI YAKO HAYO
Aah mi navoona ni kua mzazi kua na elimu au chochote kile lazima mtoto ashawishike mfano baba mwanasiasa kuna mtoto mmoja lazima ashawishike awe kama baba ake
Mama nesi lazima girl child awe inspire we call it 'GENERATIONAL TRANSITION'
Ni sawa pia mkuu haina nomaUpendo ndo mkuu kuliko vyote.
Anaweza akaolewa na mwenye degree au Diploma na wakazaa watoto na wakaachana na watoto wasifikie malengo kama ya wazazi sababu ya malezi au shetani kuiingilia kati.
Ushaambiwa huyo jamaa ana biashara zake, kwahyo mtoto hawez kuwa mfanyabiashara?
yani mwanaume wa degree/diploma ndo aoe mwanamke asiye na elimu? kisa nini uchi au?, hata wanaume tunahitaji wanawake wa level yetu siyo chini sana
Huyo dada hana elimu hivyo akubali tu kuolewa.
Ni sawa pia mkuu haina noma
Beba mimba. Mama atatulia.
Duuu kweli nimeamini wa Afrika na wa Zungu akili zetu ni tofauti kwenye mahusiano, wazungu woa sijui niseme wajinga.Hata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno
Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha? Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu awe inspired kusoma kwa bidii
Usitangulize hisia mbelembele
Kwani Baba yako alikuwa sharobaro?mi nmempa nafasi ajiprove ila mama kasema hataki tu hapo ndo nachoka na sababu zake ndo hizo