Mama hamtaki Mpenzi wangu

Mkuu , Victory is not for fainted hearted,

The end alywas justies the means , usije ukahukumu Mwanzo wa mtu yawezekana ni mvutaji na mlevi Ila Kesho mambo yakabadilika.πŸ™πŸ»
 
Sawa we mpende tu mama ila uwe tayar kutoa tito huko mbeleni 😊
Nmeuliza naona hujajibu! Pengine kuna mahala nmeandika mlevi sijaona
Mkuu , Victory is not for fainted hearted,

The end alywas justies the means , usije ukahukumu Mwanzo wa mtu yawezekana ni mvutaji na mlevi Ila Kesho mambo yakabadilika.πŸ™πŸ»
Mungu anisaidie kuchagua kilichochema.
 
amekwambia ameacha ulevi kirahis tu [emoji23][emoji23]
akesho kuoa uyo utaijui rangi yke halis na utakumbuka mama ako alichokwambia
 
Hakuna mtu anaweza kuijua Kesho ya mtu that way nimenukuu haya maneno kuwa "The end always justifies the means"
 
Me mwenyew nakukataza japo sikufahamu
 
Nina mashaka na elimu ulioitaja hapa.
Wewe bila shaka umesoma zaidi ya hiyo form four uliotuandikia hapa
 

Pombe haiachwi kizembe hivyo.

BTW mlishashiriki tendo la ngono?
 
Usikute mama yako aliwahi kutoka kimapenzi na huyo kijana au anataka kimapenzi hivyo anaweka ngumu ili isije gundulika jamaa kala kuku na kifaranga chake.
 
kama ni mkubwa wako ndo anaendesha Maisha yako bora ufe tu hakuna namna
 
usimpuuze mama ana hoja,hasa kwenye kuvuta bangi na pombe kama ni kweli
Fuata huu ushauri kama kweli una akilli. Mzazi ni mzazi aisee huyo sio mke mwenza anakuonea wivu.

"Bangi + pombe = hamna familia ya hivo"

Mtafute huyo mke wa kwanza ana mengi ya kukushauri. Ila mama ya
 
Fuata huu ushauri kama kweli una akilli. Mzazi ni mzazi aisee huyo sio mke mwenza anakuonea wivu.

"Bangi + pombe = hamna familia ya hivo"

Mtafute huyo mke wa kwanza ana mengi ya kukushauri. Ila mama ya
we ni mmeru
 
Nina mashaka na elimu ulioitaja hapa.
Wewe bila shaka umesoma zaidi ya hiyo form four uliotuandikia hapa
Kwanini unahisi hivyo?
Pombe haiachwi kizembe hivyo.

BTW mlishashiriki tendo la ngono?
Sawa nmeelewa mkuu ntalifanyia kazi
Usikute mama yako aliwahi kutoka kimapenzi na huyo kijana au anataka kimapenzi hivyo anaweka ngumu ili isije gundulika jamaa kala kuku na kifaranga chake.
Sidhani kwakweli
Mi mwenyw nimewaza kama wewe
 
Achana naye huyo,,, usikute baba Ako Mdogo huyo. Dunia hii Ina mambo mengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…