Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema kama kiliachwa kule kifuatwe, mama hataki uchafu wa mazingira.Rais Samia ameagiza kibegi Cha Simba kishushwe kama kiliachwa huko ili kuepuka kuwakanganya watalii.
Tusilete utani kwenye njia zetu kuu za uchumi. Watalii hawataelewa kukuta kibegi huko kileleni.
Nasikia Chamazi tuna mechi?Rais Samia ameagiza kibegi Cha Simba kishushwe kama kiliachwa huko ili kuepuka kuwakanganya watalii.
Tusilete utani kwenye njia zetu kuu za uchumi. Watalii hawataelewa kukuta kibegi huko kileleni.
Kibegi kinazidi umaarufu Tamasha zima la Uto-WeekRais Samia ameagiza kibegi Cha Simba kishushwe kama kiliachwa huko ili kuepuka kuwakanganya watalii.
Tusilete utani kwenye njia zetu kuu za uchumi. Watalii hawataelewa kukuta kibegi huko kileleni.
Hataki na upuuzi pia. Hebu fikiria kama timu zooote nchini zitaenda kuacha vitu vyao kule juu SI itakuwa fujo na upuuzi?Kasema kama kiliachwa kule kifuatwe, mama hataki uchafu wa mazingira.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Utopolo wenye Akili ni wawili tuHataki na upuuzi pia. Hebu fikiria kama timu zooote nchini zitaenda kuacha vitu vyao kule juu SI itakuwa fujo na upuuzi?
Wewe ndiye mpuuzi kwani kibegi kimepigwa mnada juzi bado unang'ang'ania kipo mlimani ulikirudisha wewe?Hataki na upuuzi pia. Hebu fikiria kama timu zooote nchini zitaenda kuacha vitu vyao kule juu SI itakuwa fujo na upuuzi?
Kibegi kiliuzwa 2.5m kahoji kama kipo kitengeneze ajira za watu wengine kukifuata. Ila kingeachwa siku ile ile kuna mtu angejizawadiaHataki na upuuzi pia. Hebu fikiria kama timu zooote nchini zitaenda kuacha vitu vyao kule juu SI itakuwa fujo na upuuzi?
Umemuelewa raisi?Utopolo wenye Akili ni wawili tu
Patakuwa dampo pale kileleniHataki na upuuzi pia. Hebu fikiria kama timu zooote nchini zitaenda kuacha vitu vyao kule juu SI itakuwa fujo na upuuzi?
Unaumia saaana,pole.Kwanini Rais ameuliza kama mmekishusha au laa, mnada hakuuona? Kama hakuuona mnada maana yake alikuwa hakifuatilii hata kidogo hicho kibegi.
Sio kweli, lengo lake la kushusha kibegi halikuwa ajira bali kuondoa takataka mlimani. Kwani kile kibegi kinatatengenezaje ajira kama kikishushwa? Kuna watu watakipandisha tena mlimani kupeleka jezi hizihizi za msimu huu? Hata kingebaki huko huko mwaka kesho simngepeleka kingine chenye jezi mpya za msimu ujao na kuwa na vibegi 2 mlimani? Kifupi mama alitoa onyo kwa matumizi mabaya ya mlima wetu. Kibegi kupanda mlima kingekuwa na maana kama kibegi kingekuwa Cha timu kama Real Madrid, Man City, Man United, arsenal, nk sio kwa timu ya bunju kama hii ambayo Haina taji hata moja Wala medali.Kibegi kiliuzwa 2.5m kahoji kama kipo kitengeneze ajira za watu wengine kukifuata. Ila kingeachwa siku ile ile kuna mtu angejizawadia
Ficha sura yako mbali, na uwe unafuatilia mambo. Ajira ambayo ingetengenezwa ni kwa ambaye angepanda lazima angelipwa mshahara mnono, usafiri wa kumpeleka getini nako ni ajira pia hifadhi ingenufaika kwa kuwa angelipa malipo ya kuingia hifadhini. Narejea tena kibegi kingeachwa kule kisingekaa hata lisaa mtu angejizawadiaSio kweli, lengo lake la kushusha kibegi halikuwa ajira bali kuondoa takataka mlimani. Kwani kile kibegi kinatatengenezaje ajira kama kikishushwa? Kuna watu watakipandisha tena mlimani kupeleka jezi hizihizi za msimu huu? Hata kingebaki huko huko mwaka kesho simngepeleka kingine chenye jezi mpya za msimu ujao na kuwa na vibegi 2 mlimani? Kifupi mama alitoa onyo kwa matumizi mabaya ya mlima wetu. Kibegi kupanda mlima kingekuwa na maana kama kibegi kingekuwa Cha timu kama Real Madrid, Man City, Man United, arsenal, nk sio kwa timu ya bunju kama hii ambayo Haina taji hata moja Wala medali.
Funguka akili yako uweze kutafakari. Mama alijua kuwa kila mwaka Kuna uzinduzi wa jezi mpya, hivyo hata kama kibegi Cha masimu huu kingeachwa huko juu, msimu ujao kungekuwa na uzinduzi wa Jez mpya ambazo ndizo ambazo zingetoa ajira ya kuzioandisha huko sio hiki alichosema kishushwe. Hiki Cha Sasa hata kikishushwa hakiwezi kutoa ajira tena. Yeye alimaanisha hata vibegi kule mlimani.Ficha sura yako mbali, na uwe unafuatilia mambo. Ajira ambayo ingetengenezwa ni kwa ambaye angepanda lazima angelipwa mshahara mnono, usafiri wa kumpeleka getini nako ni ajira pia hifadhi ingenufaika kwa kuwa angelipa malipo ya kuingia hifadhini. Narejea tena kibegi kingeachwa kule kisingekaa hata lisaa mtu angejizawadia