Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Acha kukaza ubongo, mwakani hatuendi huko, kibegi kishauzwa mjini hapoFunguka akili yako uweze kutafakari. Mama alijua kuwa kila mwaka Kuna uzinduzi wa jezi mpya, hivyo hata kama kibegi Cha masimu huu kingeachwa huko juu, msimu ujao kungekuwa na uzinduzi wa Jez mpya ambazo ndizo ambazo zingetoa ajira ya kuzioandisha huko sio hiki alichosema kishushwe. Hiki Cha Sasa hata kikishushwa hakiwezi kutoa ajira tena. Yeye alimaanisha hata vibegi kule mlimani.
Kielelezo Cha akili ndogo!Sio kweli, lengo lake la kushusha kibegi halikuwa ajira bali kuondoa takataka mlimani. Kwani kile kibegi kinatatengenezaje ajira kama kikishushwa? Kuna watu watakipandisha tena mlimani kupeleka jezi hizihizi za msimu huu? Hata kingebaki huko huko mwaka kesho simngepeleka kingine chenye jezi mpya za msimu ujao na kuwa na vibegi 2 mlimani? Kifupi mama alitoa onyo kwa matumizi mabaya ya mlima wetu. Kibegi kupanda mlima kingekuwa na maana kama kibegi kingekuwa Cha timu kama Real Madrid, Man City, Man United, arsenal, nk sio kwa timu ya bunju kama hii ambayo Haina taji hata moja Wala medali.
Kibegi kiko ghettoni kwa Salehe Madjapa Dj wetu wa ghetto enzi tunasoma IFM na kina Mchatta, Rahim na BujibujiRais Samia ameagiza kibegi Cha Simba kishushwe kama kiliachwa huko ili kuepuka kuwakanganya watalii.
Tusilete utani kwenye njia zetu kuu za uchumi. Watalii hawataelewa kukuta kibegi huko kileleni.
Au zindiko la kiganga? Masimba machawi machawi sanaRais Samia ameagiza kibegi Cha Simba kishushwe kama kiliachwa huko ili kuepuka kuwakanganya watalii.
Tusilete utani kwenye njia zetu kuu za uchumi. Watalii hawataelewa kukuta kibegi huko kileleni.
Alijua kuwa hata kikishushwa hakitatoa ajira kwa watu wengine kwakuwa hakitapandishwa tena mlimani, na kama kweli alikuwa anakifuatilia kibegi alikuwa anafahamu kuwa kimeshushwa na kupigwa mnada, ila alitumia njia nyingine kuwaambia kuwa hataki upuuzi kwenye mlima ambao ni chanzo Cha mapato.Kasema kama kiliachwa kule kifuatwe, mama hataki uchafu wa mazingira.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mkuu embu punguza makasirikoWewe ndiye mpuuzi kwani kibegi kimepigwa mnada juzi bado unang'ang'ania kipo mlimani ulikirudisha wewe?
Kwani kibegi kiko mlimani au kilishapigwa mnada? Mbona mnazidi kuthibitisha ukanjanja wenu?Mkuu embu punguza makasiriko
Mpuuzi ni wewe ambae hujamwambia Rais kama ulikishusha na kukipiga mnada, kama ungemwambia asingetoa maagizo ya kushushwa kibegi na Wala asingeuliza kama kimeshushwa au laWewe ndiye mpuuzi kwani kibegi kimepigwa mnada juzi bado unang'ang'ania kipo mlimani ulikirudisha wewe?
Unadhihirisha upumbavu wako kubishania jambo la wazi kama hili la uwepo wa kibegi. Eti Rais ametoa agizo la kushushwa kibegi,hilo agizo umelisikia peke yako hata gongowazi wenzako hawajalisikia.Mpuuzi ni wewe ambae hujamwambia Rais kama ulikishusha na kukipiga mnada, kama ungemwambia asingetoa maagizo ya kushushwa kibegi na Wala asingeuliza kama kimeshushwa au la