Mama Hata CCM Wamechoka na Utekaji, Mbunge Amtaja Mtekaji Kuwa ni Mtoto Pendwa.

Mama Hata CCM Wamechoka na Utekaji, Mbunge Amtaja Mtekaji Kuwa ni Mtoto Pendwa.

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Huyu pamoja na kuwa ni mchungaji lakini kisiasa ni kiongozi yaani ni mbunge wa Kawe.
Amepiga verse za kutosha na kwa lugha ya Alama ametutajia mtekaji mkuu kuwa ni yule aliteka studio za TV na akamteka mwanamuziki.
Huyo mtu ni mtoto pendwa wa #1 na toka amrudishe kwenye system matukio yameongezeka kwa kiwango cha kutisha.
Mama anataka aambiwe kwa style ipi aelewe na kuchukua hatua stahiki? Haiwezekani wanaoumizwa ndio eti kufanyike mkakati wa kuwafanya ndio wahusika.

View: https://youtu.be/Z2rm9DMYBho?si=eL-7DNAN1hBVAyft
 
Haisaidii hata angekuwa nazo, maana si ngeni kwa watanzania.
Zitatazamwa zitawekwa pembeni litabaki swala la mauaji akilini mwao.
Na sijasema inasaidia bali nimesema Gwajima hathubutu kuwa critical namna hiyo sasa hivi. Nakuhakikishia akijaribu kufanya hivyo watamfungulia mashtaka ya kusambaza maudhui ya ngono. Hakuna kikundi chenye wahuni kama CCM.
 
Na sijasema inasaidia bali nimesema Gwajima hathubutu kuwa critical namna hiyo sasa hivi. Nakuhakikishia akijaribu kufanya hivyo watamfungulia mashtaka ya kusambaza maudhui ya ngono. Hakuna kikundi chenye wahuni kama CCM.
Umeeleweka
 
Huyu pamoja na kuwa ni mchungaji lakini kisiasa ni kiongozi yaani ni mbunge wa Kawe.
Amepiga verse za kutosha na kwa lugha ya Alama ametutajia mtekaji mkuu kuwa ni yule aliteka studio za TV na akamteka mwanamuziki.
Huyo mtu ni mtoto pendwa wa #1 na toka amrudishe kwenye system matukio yameongezeka kwa kiwango cha kutisha.
Mama anataka aambiwe kwa style ipi aelewe na kuchukua hatua stahiki? Haiwezekani wanaoumizwa ndio eti kufanyike mkakati wa kuwafanya ndio wahusika.

View: https://youtu.be/Z2rm9DMYBho?si=eL-7DNAN1hBVAyft

The rise of SKMG
20240919_080623.jpg
 
Back
Top Bottom