Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Huyu nae, mama wa watoto wawili, story zimezagaa mtaani, kaolewa na mme wake ni mtu
na maisha mazuri tu, ila katongozwa kidogo tu mzee wake kaenda mikoani kikazi anagawa,
tena watoto wakiwa shule anamtuma mtoto wa kazi soko la mbali na home kwake,
anajiachia hapo anatoa dudu, sijui ni ugonjwa,ngono bana, ila ukimwona mwanamke wa haiba ya aibu mno, nadhifu, mrembo, figa kali na adabu kwa mumewe, na si mapepe, ILA NI MAMA HURUMA, hadi namwonea na mm huruma, tena basi akiombwa tu kidogo akiwa mwenyewe, ukimshika shika tayari, UKIOLEWA au KUOA lazima tuache tabia hizi bana au ziwe siri saaaaaaaaaaaana. au anamatatizo?
na maisha mazuri tu, ila katongozwa kidogo tu mzee wake kaenda mikoani kikazi anagawa,
tena watoto wakiwa shule anamtuma mtoto wa kazi soko la mbali na home kwake,
anajiachia hapo anatoa dudu, sijui ni ugonjwa,ngono bana, ila ukimwona mwanamke wa haiba ya aibu mno, nadhifu, mrembo, figa kali na adabu kwa mumewe, na si mapepe, ILA NI MAMA HURUMA, hadi namwonea na mm huruma, tena basi akiombwa tu kidogo akiwa mwenyewe, ukimshika shika tayari, UKIOLEWA au KUOA lazima tuache tabia hizi bana au ziwe siri saaaaaaaaaaaana. au anamatatizo?