fo beta fo wes
wada nauliza hekima zenu:
kuna jamaa katembea hadi kuzaa na shemeji yake (mdogo wa mkewe); imemuumiza sana mke na kumvunja moyo, ana watoto 3 na huyu mume wa ndoa, uhusiano na mumewe uko hatarini, na undugu na mdogo wake pia uko hatarini, hivi anatakiwa afanyeje?
ndo maana tunataka mahakama ya kadhi!Apigwe mawe hadi afe
ili muwe munawapiga mawe watu wafe, hilo halitatokea hapa tz. ujue kuna wakristo walioolewa na waislam, hivyo usijeona mchagga mmoja akisikia binti yake aliyeolewa na mwislam anaenda kupigwa mawe ananoa panga mapemaa? hivi unafikiri mtu na akili zake atakubali mwanae akapigwe mawe ati kwasababu amezini?...si atachukua bunduki akawafyatulie hao wauaji wote na mahakama ya kadhi ndo itaishia hapohapo..watasahau hata jiwe lililokuwa wamelishika mkononi.ndo maana tunataka mahakama ya kadhi!
...... Plz kina dada mlio kwenye ndoa hebu muwe makini na wadogo zenu wa kike mnao kaa nao....
hee yaani!!!!!!!! Au sijakufahamu,,,, itakuwa ni visa hivi sasa u mean dada na mdogo wake wanashare mume mmoja na mdogo mtu keshazaa mtoto mmoja au sijakusoma sawa sawa??? Ya allah....ya rabb tusamehe waja wako,,,,kila kukicha mambo yazidi kugeuka,,, subhana llah!!!!!!!!
Waokoke wote wamrudie Mungu
sijafaham bado,,,wajua misamiati mengine tena kiswahili kigumu jamani mi ntazulie sikifahamu bara bara,,Font yako 2 ndo inanifanya nianze kutahamaki UREMBO wako!!
Huyu dada aache wivu, amkubali mdogo wake na mtoto wake ili huyu mwanaume awalee wote. Mie bibi yangu alimruhusu mdogo wake azae na mumewe. Hao baba zangu walio zaliwa kwa mama mdogo na mkubwa kwa baba mmoja wanaelewana vibaya mnooo.