Wada nauliza hekima zenu:
Kuna jamaa katembea hadi kuzaa na shemeji yake (mdogo wa mkewe); imemuumiza sana mke na kumvunja moyo, ana watoto 3 na huyu mume wa ndoa, uhusiano na mumewe uko hatarini, na undugu na mdogo wake pia uko hatarini, hivi anatakiwa afanyeje?
Kuna jamaa katembea hadi kuzaa na shemeji yake (mdogo wa mkewe); imemuumiza sana mke na kumvunja moyo, ana watoto 3 na huyu mume wa ndoa, uhusiano na mumewe uko hatarini, na undugu na mdogo wake pia uko hatarini, hivi anatakiwa afanyeje?