Mama Iman wa Open Kitchen

La Princesa

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
1,049
Reaction score
1,160
Wallah Huyu Dada Anapika na Ni Hardworking (Kwa Hill Namsifu)Then Pamoja Na Ubonge Wake A see Anajua Kucheza Muziki Mzuri...

Let's get back to the point, ananiudhi huyi huyu Dada,You know kuna vitu ukiwa Bonge Sana Kama Mimi na Yeye(😂😂😂&#128514😉hutakiwi kuvifanya,Kuweka picha za Mashauzi Instagram Eti Mara Anafanyiwa Massage na mmewe,Mara Wanaoga,Mara Afanyiwa Pedicure,I hate That,Acha Mama Iman,You Don't Have to prove to people that you are in a Happy Marriage,Only you,your heart and your partner know...


Nakupenda though..am not a hater,ila am telling you watu wanakuchora na wanakusifia kichina..#okbye
 
Ahahaaa muache bna
Chezeiya kushika hela uzeeni
Acha tuone
Mange mashauzi Kwishaa
Tuone sura mpya

Lakini Mange alisema Ana deep mawazuu,mmewe yuko shule akimaliza tutajutraa kwa blog
 
Labda ana mke mwenza wanashindana nani nani.

Au katoka kamata mwizi wake
 
acha aringee...acha ajidaiiii atii!! siku hz ndoa nyingi vilio kuwa na ndoa kama yake ni bahati ya mtende kuota jangwani.mi naomba mungu nimpate mume kama wake!
 
Labda ana mke mwenza wanashindana nani nani.

Au katoka kamata mwizi wake

Aki mwanamke ni zaidi ya muonekano Wa nje....ila haihitaji kujionesha Instagram(in Dai's voice,I insist, HAPENDEZI
 
acha aringee...acha ajidaiiii atii!! siku hz ndoa nyingi vilio kuwa na ndoa kama yake ni bahati ya mtende kuota jangwani.mi naomba mungu nimpate mume kama wake!


Here?Usinambie ndoa yake ni ndoa yenye.....?
 
Namfollow sabab ya mapocho pocho tu, lakin zile post kama hajiamin flan japo mwenyew anatuaminisha yuko happy na mwili wake lakin nadhani hapend ila hana namna tu na mmew anampenda kwakwel maana adi raha
 
Ahahaaa muache bna
Chezeiya kushika hela uzeeni
Acha tuone
Mange mashauzi Kwishaa
Tuone sura mpya
msicomment kuhusu watu kuwa mnawajua!!
huyo ana hela toka mamake anabeba mim a ya kuzaliwa yeye!!!
kwa taarifa zaidi uliza nini maana ya kuwa na duka la duty free Airport miaka ya Tisini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…