Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwa nini walitifuana na Sarah maana Sarah misosi yake ni imepooza ile mbaya,mnyonge mnyongeni Upendo ana pika mno kiukweli hujuti japo angejisogeza karibu karibu zaidi ingeluwa poa najua uwezo anaoYule dada ana mkono wa kupika; sijui hata nikuelezeje
Hahahha taratibu mkuuKaolewa na mwanae (ben10) sasa hakuna cha Baba Imani wala masaji kupendana kumbe alikua anafukia mashimo
Halafu vyovyote iwavyo kila mtu ana wakati wake wa kufanikiwa vidole havilingani hivyo ni vizuri kuheshimiana. Awe ameshika uzeeni au ujanani, au unasemaje yna?Kuna watu wanajiona wao walivyoshika pesa uzeeni Basi na wengine vivyo hivyo..😂😂😂
Hahahha taratibu mkuu
Exactly kibaliHalafu vyovyote iwavyo kila mtu ana wakati wake wa kufanikiwa vidole havilingani hivyo ni vizuri kuheshimiana. Awe ameshika uzeeni au ujanani, au unasemaje yna?
Acha kabisa ni mwendo wa kuombeana njaa🤣😂Hahhaaaa si unajua wabongo tunavyopenda mabaya yawakute watu mpwaa??
Na mimi sijui hata chanzo cha ugomvi wao; ngoja tusubiri. Me naonaga Sarah naye anapika vizuri au?Sijui kwa nini walitifuana na Sarah maana Sarah misosi yake ni imepooza ile mbaya,mnyonge mnyongeni Upendo ana pika mno kiukweli hujuti japo angejisogeza karibu karibu zaidi ingeluwa poa najua uwezo anao
Anapika ila misosi yake haina ladha ya kawaida mnoNa mimi sijui hata chanzo cha ugomvi wao; ngoja tusubiri. Me naonaga Sarah naye anapika vizuri au?
Bado unatamani mume kama yule au uyu wa sasaacha aringee...acha ajidaiiii atii!! siku hz ndoa nyingi vilio kuwa na ndoa kama yake ni bahati ya mtende kuota jangwani.mi naomba mungu nimpate mume kama wake!
Bado anatamani unaweza kuta hapo kakopwa free p miaka 3,hakuna ndoaBado unatamani mume kama yule au uyu wa sasa
Huwezi jua wanayopitia wanandoa kwa kuwatazama, watu wanafake life. Ndoa yenyewe haipo tena..mume kaoa mke mwingine, na bidada kaona isiwe taabu kavuta kiserengeti boy chake , kaolewa😄😄😄😄😄.acha aringee...acha ajidaiiii atii!! siku hz ndoa nyingi vilio kuwa na ndoa kama yake ni bahati ya mtende kuota jangwani.mi naomba mungu nimpate mume kama wake!