Mama Iman wa Open Kitchen

Mama Iman wa Open Kitchen

Yule dada ana mkono wa kupika; sijui hata nikuelezeje
Sijui kwa nini walitifuana na Sarah maana Sarah misosi yake ni imepooza ile mbaya,mnyonge mnyongeni Upendo ana pika mno kiukweli hujuti japo angejisogeza karibu karibu zaidi ingeluwa poa najua uwezo anao
 
Kuna watu wanajiona wao walivyoshika pesa uzeeni Basi na wengine vivyo hivyo..😂😂😂
Halafu vyovyote iwavyo kila mtu ana wakati wake wa kufanikiwa vidole havilingani hivyo ni vizuri kuheshimiana. Awe ameshika uzeeni au ujanani, au unasemaje yna?
 
Halafu vyovyote iwavyo kila mtu ana wakati wake wa kufanikiwa vidole havilingani hivyo ni vizuri kuheshimiana. Awe ameshika uzeeni au ujanani, au unasemaje yna?
Exactly kibali
 
Sijui kwa nini walitifuana na Sarah maana Sarah misosi yake ni imepooza ile mbaya,mnyonge mnyongeni Upendo ana pika mno kiukweli hujuti japo angejisogeza karibu karibu zaidi ingeluwa poa najua uwezo anao
Na mimi sijui hata chanzo cha ugomvi wao; ngoja tusubiri. Me naonaga Sarah naye anapika vizuri au?
 
acha aringee...acha ajidaiiii atii!! siku hz ndoa nyingi vilio kuwa na ndoa kama yake ni bahati ya mtende kuota jangwani.mi naomba mungu nimpate mume kama wake!
Huwezi jua wanayopitia wanandoa kwa kuwatazama, watu wanafake life. Ndoa yenyewe haipo tena..mume kaoa mke mwingine, na bidada kaona isiwe taabu kavuta kiserengeti boy chake , kaolewa😄😄😄😄😄.
 
Back
Top Bottom