Mama Janeth Magufuli anazidi kung'ara kwa siha na wajihi katika awamu hii ya sita

Mama Janeth Magufuli anazidi kung'ara kwa siha na wajihi katika awamu hii ya sita

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mama Janeth Magufuli kwa kweli amezidi kupendeza, nimefuatilia sana matukio yake katika awamu ya sita, ni mtu mwenye furaha sana, anatabasamu, kwa kweli anaonekana mtu mwenye amani sana, hana mawazo, amesakata dansi pale ikulu chamwino, Mwenyezi Mungu amuweke.
 
Achana na Chadema , unaiwaza kila siku. Alieleta mada ni CCM lakini unajitoa fahamu na kulaumu CHADEMA. Hata mfumuko wa Bei mtalaumu CHADEMA.
unafikiri mpango wenu wa vita vya kiuchumi kuichafua nchi kimataifa hatukuwasoma mapema sio
 
Back
Top Bottom