π€£π€£Acha ajilie taratibu mafao
Achana na Chadema , unaiwaza kila siku. Alieleta mada ni CCM lakini unajitoa fahamu na kulaumu CHADEMA. Hata mfumuko wa Bei mtalaumu CHADEMA.ajenda ya chadema ni kumshambulia huyu mama lakini watanzania wako nae bega kwa bega
unafikiri mpango wenu wa vita vya kiuchumi kuichafua nchi kimataifa hatukuwasoma mapema sioAchana na Chadema , unaiwaza kila siku. Alieleta mada ni CCM lakini unajitoa fahamu na kulaumu CHADEMA. Hata mfumuko wa Bei mtalaumu CHADEMA.
Na wewe tupe wasifu wa mumeo itapendeza zaidiTupe na wasifu wa mkeo basi!
ππ Umeshapanic!Na wewe tupe wasifu wa mumeo itapendeza zaidi
Shetani wa Chato alikuwa anamtesaKwaiyo unataka kusemaje[emoji276]
Hapana.[emoji3][emoji3] Umeshapanic!