konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
Halafu ni wachache sana. Hapa mama hata akishinda uchaguzi mkuu kwa 99% hakuna atakayebisha maana nchi nzima imelipuka kwa fifijo na nderemo.Ccm waishazoea dhuruma ndoo maana hawapendi mama anavyopenda haki!
Mkuu, Mama ndio rais. Train ishashika kasi hiyo ukijitega inakusagasaga.Mama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Hata mimi sielewi. Ninachojua mama ndio rais wa nchi hii.Hivi Mama kawakosea nini Mataga??
Mkuu kuwa muaminifu kwa nafsi yako. Mama yuko tofauti kabisa na unavyoongea. Kaongelea kachukizwa na vikao kutumia zaidi ya milioni 600 kipindi cha mwendazake, kuna mifano mingi tu kusupport hilo. Hiyo inakupa tafasiri gani kichwani kwako? Endelea kujifariji tu ila mama ndio rais wa nchi hii na train imeshashika kasi ukijitega inakusagasaga. Watanzania wote tumuunge mkono mama.Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Chukua tena soma ulichoandika. Kama hutadelete jihesabu wewe ni mpumbavu wa kutupwa. Sio kujitoa ufahamu bali ufahamu hukuwahi kuwa nao!Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
CCM wanao mpinga mama ni SUKUMA GANG.Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale ccm kindakindaki wa humu JF wafia chama wa ccm wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa ccm. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Ngoja tumuulize mwajiri wao ChakubangaHivi Mama kawakosea nini Mataga??
ukizingua nakuzingua vilevile ,vikao 26 million 600,matumizi enzi za kupambana na ufisadi,note ukizingua nakuzingua..
Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale ccm kindakindaki wa humu JF wafia chama wa ccm wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa ccm. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Heshma kubwa kwa CCM
Uwekezaji wao kwenye rasilimali watu na ukomavu wao kisiasa wana uwezo wa kendelea kushika dola miaka mingine 100