Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Leteni tena mtu dizaini ya mwendazakeHeshma kubwa kwa CCM
Uwekezaji wao kwenye rasilimali watu na ukomavu wao kisiasa wana uwezo wa kendelea kushika dola miaka mingine 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leteni tena mtu dizaini ya mwendazakeHeshma kubwa kwa CCM
Uwekezaji wao kwenye rasilimali watu na ukomavu wao kisiasa wana uwezo wa kendelea kushika dola miaka mingine 100
Naunga mkono HOJATanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama?
🙈🙈🙈🙈
Tofauti na mwendazake hata usipo mzingua yeye anakuxingua.Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale ccm kindakindaki wa humu JF wafia chama wa ccm wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa ccm. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Haiwezi shuka kwa haraka hivyo, kwakuwa aliyokuwa anayapigania juu ya uongozi wa meko, ni kweli yametokea, unadhania hasara hizo za ndege, zitakapowekwa wazi, kuna nini?!utoroshaji madini mererani, umekwisha?!!na hayo hayo ndio atazidi kuyasema, ili watu waone kuwa walikuwa wakiongopewa?na huu uhuru wa habari ambao mheshimiwa rais, ameuruhusu, ndio unakwenda kumuweka peupe kabisa mwendazake!!kumbe hadi leo huko barrick bado ni shida!!!na ndio maana hadi sasa lisu bado hajaafikiana moja kwa moja na haya matamko, yeye anajielewa anataka yaendane na mabadiriko ya sheria zilizotufikisha hapa.Najua MATAGA, sasa hivi mnahali ngumu sana, kuona ile faraja ya watanzania inataka kurudi.Umesema ukweli na hapa chama chetu kiwe makini kikimpinga Sana mama kitapoteza umaarufu hata mh lissu umaarufu wake ili ubaki asimpinge Sana mama maana umaarufu wa lissu ulibebwa na mwendazake sasa mwendazake analiwa na mchwa huko most likely lissu umaarufu ukashuka.
Huo ndio ukweliCCM wanao mpinga mama ni SUKUMA GANG.
Hakuna shida yotote ili mradi iimarishe utawala bora.Heshma kubwa kwa CCM
Uwekezaji wao kwenye rasilimali watu na ukomavu wao kisiasa wana uwezo wa kendelea kushika dola miaka mingine 100
Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale ccm kindakindaki wa humu JF wafia chama wa ccm wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa ccm. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Shoga maombolezo yameisha..tunanyoa lini nikusindikize? Ila mama mzazi wa hayati anahitaji upendo..mumuombee...
Kitu kizuri ambacho wengi hawajaelewa ni kwamba, mama anacheza muziki wake, CCM wenzie hawamuelewi sababu washazoea ngoma za kusukuma unacheza na manyoka tu lakini huku sasa unapigiwa ngoma za mwanakwerekwe na Jambiani pembeni unafukizwa ubani na marashi ya karafuu. Ile ngoma anaijua yeye mwenyewe mama.
Mje niwanyoe 😜Shoga maombolezo yameisha..tunanyoa lini nikusindikize? Ila mama mzazi wa hayati anahitaji upendo..mumuombee...
Sio.kigwa tu alobadilika..kuna mwigulu pia kumbuka...kazi mnayo..mama hapend uchafu
mama D Alisema atanyoa...ntamleta kwako 40 zikifika anyoe amuenzi mwendazake mkuu😅Mje niwanyoe 😜