Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Pigisha para hadi ajute🤥Basi sawa mlete hakika anapata kinyozi mzuri sana , atanyolewa tarrrrtiiibu ili amalize machungu yake.😜
We ni matako sana mlizoea kuchukua haki zetu mbwa nyie mama anasimamia haki mama ndie mlezi wa familia kaeni pembeni mama arekebishe nchi ng'ombe wa kinesi weweMama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Mkuu nimecheka balaa dahWe ni matako sana mlizoea kuchukua haki zetu mbwa nyie mama anasimamia haki mama ndie mlezi wa familia kaeni pembeni mama arekebishe nchi ng'ombe wa kinesi wewe
Para haswa, para linapigwa unaanzia mbele waishia nyuma 😃😜😜🤪 lakini shurti kumpaka mafuta ili asiumie basi para litang'aa haswa👌😃 we mlete maeneo ya Dole hapa Zanzibar 😜Pigisha para hadi ajute🤥
kwani hayati jiwe alipeleka wapi nchi?Mama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Wanamuona kama anawaharibia.
Anafukunyua madudu ya mwendazake.
Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Wasukuma hawampendi Mama kwa vile ametibua mipango yao ya kuifanya Tanzania kuwa Sukumaland.Hivi Mama kawakosea nini Mataga??
Hata mngedhikri uchi Mama ndiye Rais wa JMT ,na cha kumfanya hamna. Sukuma Gang hamna nia njema na nchi yetu kama vipi hamieni Burundi.Mama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Heshma kubwa kwa CCM
Uwekezaji wao kwenye rasilimali watu na ukomavu wao kisiasa wana uwezo wa kendelea kushika dola miaka mingine 100
Tunachojua Mungu amesikia kilio chetu ametuondolea kiini cha chukiHapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Ww Sabaya usahau iyo nafasi, jiandae kwenda jela kwa uporajiMama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Mkuu siku hizi umekuwa kama Minyoo,Ushuzi.1 na Mmawia. This is too cheap for you. Umekuwa mtu wa mipasho kama wamama wa uswahilini, uwezo wako na upeo ulioonekana nao huko nyuma ni tofauti na sasa. Nilichoongelea na unachoongelea ni vitu tofauti.. mada inahusu ccm soma tena labda utaelewa.Panga maneno utakavyo, lakini kwa sasa mtafanya kazi za halali. Zile kazi za kuteka, kuua na kutishia watu sasa zimefika mwisho, maana boss wenu yuko motoni. Mungu kaamua kufanya mabadiliko bila damu kumwagika. Hivyo muone bashite akupe mafao yako, maana ukichelewa atakula hela zote muishie kuzinguana. Ccm muwe wamoja, muwe vipande is none of our business, tunachujua nchi hii haiko mikononi mwa yule mtu muovu tena fullstop.
Mkuu siku hizi umekuwa kama Minyoo,Ushuzi.1 na Mmawia. This is too cheap for you. Umekuwa mtu wa mipasho kama wamama wa uswahilini, uwezo wako na upeo ulioonekana nao huko nyuma ni tofauti na sasa. Nilichoongelea na unachoongelea ni vitu tofauti.. mada inahusu ccm soma tena labda utaelewa.
Wewe mpinge tu na hao wenzako (kama wapo).Mama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.