Mama kanikimbizia mchumba wangu



Hii si uandike ulipo ikopi.. Ya ka muda hii
 
Ila wanawake huwa mna akili za kipumbavu ,hivi una kubalije kufanywa hawala zaidi ya miaka7.

Sasa ona umefanywa hawala miaka 7 na bado umeachwa alafu huyo mwanaume wako anaenda kuoa wanamke atakaye mchumbia kwa miezi 3 tu.
Mwanamke katika kitu unacho takiwa kulinda ni mwili wako maana ndo thamani yako ilipo.
 
N
Nicheki nikusaidie kitu chap in box
 
Kwaio umeona usingizie maza Ako ili tukuonee huruma, si ndio?

Shwari!
 
Toka ukiwa na miaka 23,jamaa anankutom.ba tu,duuuuh!!
Wanaume masim.p watakuna kukupigia magoti huku wakikuvisha Pete na kububujikw ana machozi
 
Cheketu cheketu mahepeee,mtoto akilia mleteeee unaimanya hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…