Mara ngapiyan kama ana ngoma vile.
Wema anaumwa nini
No sikulazimishi dearHawezi kua na miaka 29 nakataa
Nimeshawishika kumwelewa Lulu kwa maneno yake mazito. Kwa umri waliokuwa nao wote wawili wakati wanaanza Mapenzi, ni huruma za serikali tu Kanumba kutolamba miaka 30.Jamani mji haukosi issue huu..
Katika episode latest ya shoo ya Miss Tanzania 2006, Mlezi wa Wana Originali (akina Shishi wanacopy tu), Wema Abraham Sepetu iitwayo Cook with Wema Sepetu mgeni alikuwa Mama wa Steve Kanumba.
Katika Mahojiano kati ya Wema na Mama Kanumba wakiwa wanapika ndizi, mama Kanumba alisema mwanae aliuawa.
Wema akauliza swali ambalo limempatia lawama kibao. Swali lilikuwa “nani alimuua? Leo nataka ufunguke mama”.
Mama naye hakuwa na kukopesha wala kupindisha akamtaja Lulu kwa jina lake la Serikali - Elizabeth Michael.
Katika inayoonesha ni kuendeleza chokochoko, Wema akaenda kupost clip ambapo Mama Kanumba anasema yeye ndo binti pekee aliyewahi kupelekewa na mwanaye huku akitamba kwamba hajawahi kuchukiwa na mkwe hata siku moja. Yani waja wengine mnaweza kumchukia ila anashukuru alhamdulillah hajawahi kuchukiwa ukweni.
View attachment 1673162
Hii imechukuliwa kama dongo kwa Lulu ambaye maneno mtaani yanadai ndoa yake imepigwa breki na wakwe ambao hawataki kumsikia kwa tuhuma za kuwa mchawi.
Kwakweli jamii ya Instagram haijafurahishwa kabisa na Wema. Amechambwa kushoto, kulia na katikati.
Wananzengo walivyo wachokozi wakaenda kwenye comments za post za Lulu na kumdokeza yaliyojiri.
Majibu ya Lulu ni kama ifuatavyo:
View attachment 1673160
View attachment 1673161
Inaelezwa kuwa Lulu ameshamblock “shosti” wake huyo ambaye juzi kati tu walikuwa wanaitana “babe” kwenye kipindi hicho hicho cha Wema.
Taarifa zisizo rasmi zinadai kamwe Lulu na Wema hawawezi kupatana kwani wameshapita sehemu hizo hizo ikiwemo kwa Kanumba, Mr. Blue, Idris na Majizo.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Wema yeye kama mtangazaji wa kipindi alikuwa sahihi kuuliza vile vile sababu alikuwa anauliza kwa niaba ya watazamaji na wasikilizaji ambao hawajawahi kujua historia ya jambo hilo jinsi lilivyotokea!
Actually kanuni ndivyo inavyotaka kwa mtangazaji hata kama yeye binafsi anajua juu ya jambo fulani lakini anapaswa kuuliza kwa niaba ya msikilizaji na mtazamaji wa kipindi husika.
Kwa Wema hakufanya kosa lolote!
Kwa kuzingatia kwamba muvi za Kanumba bado zinatazamwa na watu mbali mbali ambao wengine hawajawahi kujua kifo chake kilivyokuwa, hivyo ikitokea fursa kama ile wanapata kujua!
Kwa hiyo Lulu ajikaze tu huenda kwa wakati mwingine hilo jambo likaibuliwa tena asishangae maana Kanumba alikuwa Mfalme wa Bongo Muvi hata sasa hajaibuka wa kumzidi. Labda mzee Majuto !
Hawajuagi kujiweka low profile yani hao vilaza, wema anavuna alichopanda ukimtizama tu usoni unaiona depression ya ukweli, mume hana, mtoto hana, mvuto kwisha, maisha mvurugiko, na yote kayasababisha mwenyewe😂😂😂😂😂wema ni empty set ndo maana akajikondesha ili arudishe jina la onyinye akidhan atarudisha na ile nyota aliyoichezea
Lulu bana akiwa na yake anapendeza ila akianza nyodo ni shida alishawafananisha watanzania na ndugu wa mume kule Twitter watu wakamjibu asiwafananishe na gubu la ndugu wa majizo daah sijui walijisikiajehao ndugu
Huyu mama ni jirani yangu..naona vijana wa mjini wanamnyandua tu saivi.Huyo mama pia nadhani kuna kitu hakipo sawa kwake.
Mbona mumewe katulia.
Utu uzima dawa ila huyu mama kakosa busara japo tunajua ana maumivu lakini bado hatumii busara .
Muda mwingine kuna mambo ni bora ukae kimya tu.
Mume unamaanisha baba kanumba au? Kwani si alishafariki muda ataongea vipi
Sio kila Mtu ana kipaji cha kufanya interview, wengine wana force tu wapate ugali matokeo yake ndio haya.Hivi Wema alishindwa kuuliza maisha yanaendaje bila Kanumba? Uliwezaje kupona jeraha la msiba?
Duh, kama huyo Mbunifu keshapitia huko na bado akarudi pale pale basi huyo ameshindikana.Mwacheni Wema, kukonda hizo surgery zinasaidia kukonda lakini ukitaka kurudi kuwa mnene unaweza sana tu, mfano ni Mbunifu wa mavazi Hasanali alifanya surgery ila sasa hivi ni mnene, mwacheni lifestyle yake km kaamua kuwa mwembamba na kujiongezea umri wa kuishi 😏😏😏😏
Upo?Reality shows zimeanza kulipa hapa nyumbani eeh...
Mumewe yupi?? Km ni baba yake kanumba mbona alikufaHuyo mama pia nadhani kuna kitu hakipo sawa kwake.
Mbona mumewe katulia.
Utu uzima dawa ila huyu mama kakosa busara japo tunajua ana maumivu lakini bado hatumii busara .
Muda mwingine kuna mambo ni bora ukae kimya tu.
Hivi anafanya kazi gani kweli..? [emoji12]Lulu kasema nyumba ni yake kajenga kutokana na kazi zake [emoji3]
Ni actress kutoka Bongo movieHivi anafanya kazi gani kweli..? [emoji12]
yani mtu utoke kuoga ili uende kwenye event alafu utake kula tigo ?
Si alitaka kupiga cha fasta. Halafu Kilulu chenyewe kilikuwa kichafuchafu vile halafu mtu ale tigo, duh. Kuna watu wana moyo