PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
sijui ni kwanini naamini hizo alama zilizokutwa kwenye mwili wa Lulu aliwekewa baada ya jamaa kufariki maana kalikimbia eneo la tukio kakaenda kujificha huko
anyway nasikia kapteni tumbo alikipiga sana
Walianza kukaharibu tangu kakiwa na miaka 10, yaani wale watu afadhali wamekufa maana wangeendelea tu na mchezo wao wa kuharibu vitoto, maana huyu Lulu sasa hivi wangemuona mzee wangeanza kutafuta victims wengine