Mama Kanumba Atoa siri za mwanae

Mama Kanumba Atoa siri za mwanae

Ooooh Kanumba ana mjuwa Mungu saana ooh Kanumba alikuwa Freemason sasa jamani lipi ni lipi? Mbona yote tuna support!!!!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Mtu mwenyewe mfa maji....achana nae ndio hawa wanakusababishiaga ban
Anamuulizia Mwansume!Aende police kutoa taarifa au tbc asipomwona kabisa aende mochwari zotee mji mkubwa huu...
 
Mwanaume mwenye hulka hizo si bure..........yapo maneno!

Loh!unaumia kichwa na hizi fake ID??? si kila anaechangia ama kutoa uzi humu yupo kama Anachoandika!! kama yapo maneno mpe dadako ndo ujue ka maneno iko au haiko. Ova!!
 
Anamuulizia Mwansume!Aende police kutoa taarifa au tbc asipomwona kabisa aende mochwari zotee mji mkubwa huu...

Kumtafuta tuuuu!!! ampe dada ake kabisa alee pembe la ng'ombe. mfyuuu!
 
Kumtafuta tuuuu!!! ampe dada ake kabisa alee pembe la ng'ombe. mfyuuu!
Akitaka aujue ujinsia wa binamu Warumi ajifungie nae chumbani walau kwa pisaa moja tu kama hatoshangazwa na kuomba poo,kama yeye ni SHE lakini,kama ni HE akajambe baharini huko ata ushuz wake hatousikia harufu yake..
 
Kumtafuta tuuuu!!! ampe dada ake kabisa alee pembe la ng'ombe. mfyuuu!
Akitaka aujue ujinsia wa binamu Warumi ajifungie nae chumbani walau kwa lisaa limoja tu kama hatoshangazwa na kuomba. poo,kama yeye ni SHE lakini,kama ni HE akajambe baharini huko ata ushuz wake hatousikia harufu yake..
 
Akitaka aujue ujinsia wa binamu Warumi ajifungie nae chumbani walau kwa lisaa limoja tu kama hatoshangazwa na kuomba. poo,kama yeye ni SHE lakini,kama ni HE akajambe baharini huko ata ushuz wake hatousikia harufu yake..

Na atuachie binamu yetu akiona hawezi kuna ndimu sokoni bei chee.
 
Alikuwa anasali sana,siku moja akiwa katika maombi na mwanamaombi mwenzie akatereza akajipiga kichwa ukutani,inasemekana alitumia maji mengi ya baraka mengine yalimwagika akatereza.....

umejua kunichekesha
 
Back
Top Bottom