Fikiri kabla yakuandika Mama Kanumba alimpoteza mtu mhimu sana ktk Maisha yake,Kwanza ni mtoto ambae alimzaa mwenyewe pili alikua Msaada ktk maisha na aliyabadilisha sana maisha yake,kwa Mantiki hiyo Kisaikolojia hayuko sawa ukizingatia Wadau mhimu waliomwahidi Kumpa sapoti Wameingia mitini so huyu mama kusema hivyo nikama kujifariji tu,Mwisho kabisa Lulu ni mtu Maarufu na Visenti anavyo alikua na wajibu wakua karibu na huyu Mama maana Sio siri Kanumba alipoteza maisha ktk Mazingira ambayo ni ngumu kumuweka kando huyu binti na Mahakama imeliona hili ndio Anatumikia kifungo