Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 658
Wadau nimejaribu kuusikiliza huu ujumbe wa Mama Kanumba kwa LLulu,nikajiuliza kama Lulu angekua mtiifu kwa Mama kanumba je angeweza kuomba mahakama ifute kesi? Je kukomaa na ile kesi ilikua ni kisasi ama nini? Watu wa Sheria leteni ufafanuzi kwa hilo swali langu la kwanza...