Sethshalom
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 586
- 1,013
Nimeona uzi very late ,aende dodoma anunue kiwanja kizuri hata 1 acre or + ,ajenge hotel iwe navyumba hata 10 , aweke na recreation center ,swimming pools nzuri kubwa ,jiko la chakula kizuri na nyama choma (kama hana utalamu wa kusimamia wapishi aweke subcontractor yeye akusanye kodi ya vyumba ,na ya jiko na vinywaji pia anaweza akaweka mtu . Vyumba viwe standards , bei ya chakula iwe standards. Ataishi vizuri tu mbonaHabari za leo wakuu , samahan, naomben mawazo yenu mama yangu amepata mafao ya kustaafu , ameniomba nmshauri afanyaje, yupo maeneo ya iringa , nimesema sehemu ili hata unapotoa ushauri uangalie na mazingira, japo nilikua nimeanza kubainisha baadhi ya vitu ,kama anunue pikipiki tuweke vijana,, pia ana nyumba zake wamepanga wanafunzi , nimemshauri aikarabati iwe na hadhi ya kukaa familia, naomben mniongezee mawazo mengine