Maoni hayo huenda yamepitwa na wakati,hakuna ubaya wowote kuanza kuchukua maoni mapya.Wananchi walishatoa maoni yao hamkuyapenda sasa mnataka kulazimisha matakwa yenu kupitia kwa watu wenu mliowachagua halafu muhalalishe kuwa katiba ya wananchi!
Unaijua Katiba ya Wananchi?Tunataka kuwapa mzigo wananchi kwasababu katiba hii ni ya Wananchi.
Kama hiyo katiba itakuwa ya wananchi na sio kiini macho, italeta Mazingira ya kutengeneza pesa zaidi kwa walalahoi .Katiba Mpya haitakuletea Chakula mezani, haitakujazia pesa kwa akaunti yako.
Pambana, jitume fanyakazi kama kichaaa, weka akiba kama mwendawazimu, weka Vitega Uchumi kama hayawani hayo makatiba yawe mazeee au mpya hayana nyongeza yoyote kwetu walalahoi. Kikubwa amani iendelee kutamalaki.
Issue siyo katiba mpya issue ni katiba yenye manufaa kwa taifaNi furaha kila kona wapinzani wamejaa furaha CCM wamejaa furaha watanzania wote tumejaa furaha. Mama katangaza mchakato wa katiba mpya uanze. Aliyenuna sisi hatuna cha kumsaidia.
Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.
Unauliza au unajibu?Unaijua Katiba ya Wananchi?
Uku ni kukosa shukrani ndugu mtanzania. Wananchi kupitia wawakilishi wao bungeni watatuletea katiba iliyo bora kabisa. Maoni yalishatolewa kwenye tume ya warioba.Una uhakika kupata katiba itakayopunguza madaraka ya viongozi kwa kutumia wanaotafuta uongozi huo huo? Mfano tunatumai kupata katiba ambayo itapunguza madaraka ya Rais! Je, Rais atakubali kusaini katiba itakayotaka Rais ashitakiwe kwa makosa aliyoyatenda akiwa Ofisini? Je, wabunge watakubali kipengele cha Waziri asiwe mbunge wakati wao wanagombea Ubunge ili wawe mawaziri? Tafakari kuhusu uchaguzi huru iwapo tunasema wabunge waliingia kwa kupitia uchaguzi Usio huru na haki?
Hatuwahitaji hawa wabunge waliopo bungeni kwa Sasa kushiriki kwa namna yoyote kwenye mchakato wa kupata katiba mpya. Labda kwa uwakilishi wa wabunge wawili kama taasisi. Hawa ndio waliovuruga tangu mwanzo otherwise tungeshakuwa na katiba mpya tangu kitamboKwa vilaza waliopo bungeni ndio wajadil mchakato???
Haiwezekani kuwa maoni yote yamepitwa na wakati! Kama yapo yaliyopittwa na wakati yarekebishwe kwenye ile rasimu!Maoni hayo huenda yamepitwa na wakati,hakuna ubaya wowote kuanza kuchukua maoni mapya.
Kama hujui uliza! Acha ushabiki wa kitotoUku ni kukosa shukrani ndugu mtanzania. Wananchi kupitia wawakilishi wao bungeni watatuletea katiba iliyo bora kabisa. Maoni yalishatolewa kwenye tume ya warioba.
Kwa wale vilaza waliojazana mule,,, hii process waangalie namna nyingine tu, ila kama hao vilaza ndo watakua wahusika wakuu basi majanga ni yaleyale tuUku ni kukosa shukrani ndugu mtanzania. Wananchi kupitia wawakilishi wao bungeni watatuletea katiba iliyo bora kabisa. Maoni yalishatolewa kwenye tume ya warioba.
Unaweza ukawa sahihi.Haiwezekani kuwa maoni yote yamepitwa na wakati! Kama yapo yaliyopittwa na wakati yarekebishwe kwenye ile rasimu!
Wezi na mafisadi wa awamu zilizopita ndio walihujumu Rasimu ya Warioba; Samia hana sababu ya kusikiliza ushauri wao kwani yeye sio Mwizi.
Katiba haitungwi na mtu au chama kimoja ndio maana umesikia wadau wote hata wasio na chama watahausika. Kuna kuwa na bunge la katiba ambalo lina uwakilishi toka kila makundi ya kijamii.Una uhakika kupata katiba itakayopunguza madaraka ya viongozi kwa kutumia wanaotafuta uongozi huo huo? Mfano tunatumai kupata katiba ambayo itapunguza madaraka ya Rais! Je, Rais atakubali kusaini katiba itakayotaka Rais ashitakiwe kwa makosa aliyoyatenda akiwa Ofisini? Je, wabunge watakubali kipengele cha Waziri asiwe mbunge wakati wao wanagombea Ubunge ili wawe mawaziri? Tafakari kuhusu uchaguzi huru iwapo tunasema wabunge waliingia kwa kupitia uchaguzi Usio huru na haki?
Ile iliyopita hujui ilikwamishwa na wajumbe kutanguliza maslahi yao? Hii Unadhani kwa vile si JK ni mama itapita! Kunatakiwa kuwepo na sheria ya kukataza watakaopitisha kutogombea kwa muda kama miaka 20 ili kukwepa maslahi binafsi. Nani apunguze mamlaka yake ili akufurahishe. Fikiria nje ya boxKatiba haitungwi na mtu au chama kimoja ndio maana umesikia wadau wote hata wasio na chama watahausika. Kuna kuwa na bunge la katiba ambalo lina uwakilishi toka kila makundi ya kijamii.
"Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato"Ni furaha kila kona wapinzani wamejaa furaha CCM wamejaa furaha watanzania wote tumejaa furaha. Mama katangaza mchakato wa katiba mpya uanze. Aliyenuna sisi hatuna cha kumsaidia.
Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.
View attachment 2613424