Kuana machawa wanamshauri ili kuzika legacy ya marehemu atangaze katiba .sasa hela italiwa na hiyo katiba hataipatikana tusubiri tuone jinsi atakvyotawanya kodi zetuAnapoteza muda SGR na Bwawa la umeme vinamsumbiria, afanye mambo kwa focus issue za katiba hawezi anasumbuka bure
Mchanganyiko lazima uwepo Mama atateua wawakilishi wa makundi tofauti wenye uzalendo."Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato"
Kama nchi inataka iwe na katiba iliyo bora itakayokaa hata miaka 50, basi bunge la katiba liundwe liwe na watu mchanganyiko, kutoka makundi mbalimbali, kusema kuwatumia wanasiasa pekee haitapatikana katiba zuri yenye kungusa maeneo mbalimbali ya raia.
Wahuni Wapo Hata Vitabu Vitakatifu Vinawatajaooh mmeanza
Aliyevuruga rasimu ya Warioba ni Mkwere na genge lake this time awapishe wengineMwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.
Nani anakudanganya hivyo.Anapoteza muda SGR na Bwawa la umeme vinamsumbiria, afanye mambo kwa focus issue za katiba hawezi anasumbuka bure
Na sasa tupate KATIBA ya wananchi na sio ya wana siasa.Ikiwa ya wananchi Ujue Taifa linakwenda kupaa,kinyume na hapo ni sifuri.Ni furaha kila kona wapinzani wamejaa furaha CCM wamejaa furaha watanzania wote tumejaa furaha. Mama katangaza mchakato wa katiba mpya uanze. Aliyenuna sisi hatuna cha kumsaidia.
Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.
View attachment 2613424
MAMA ni Shujaa kwani Wanaume waliomtangulia Walishindwa yupo mmoja alianzisha mchakato lakini wakina Wassira Wakampotosha yupo mwingine yeye ndio Hakuitaka kabisa KATIBA MPYANi furaha kila kona wapinzani wamejaa furaha CCM wamejaa furaha watanzania wote tumejaa furaha. Mama katangaza mchakato wa katiba mpya uanze. Aliyenuna sisi hatuna cha kumsaidia.
Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.
View attachment 2613424
Acha ujinga weweAnapoteza muda SGR na Bwawa la umeme vinamsumbiria, afanye mambo kwa focus issue za katiba hawezi anasumbuka bure
Hamna kitu pale katiba haizewekani acheni ujingaAcha ujinga wewe
Una uhakika kupata katiba itakayopunguza madaraka ya viongozi kwa kutumia wanaotafuta uongozi huo huo? Mfano tunatumai kupata katiba ambayo itapunguza madaraka ya Rais! Je, Rais atakubali kusaini katiba itakayotaka Rais ashitakiwe kwa makosa aliyoyatenda akiwa Ofisini? Je, wabunge watakubali kipengele cha Waziri asiwe mbunge wakati wao wanagombea Ubunge ili wawe mawaziri? Tafakari kuhusu uchaguzi huru iwapo tunasema wabunge waliingia kwa kupitia uchaguzi Usio huru na haki?
Neutrality inatakiwa ujue. Je utaipataje kama hilo Bunge lisipowekewa sheria? Unafahamu hata Kenya Kiongozi wa mchakato hakuwa mkenyaMe nafikiri kutakuwa na Bunge la Katiba tofauti na Bunge hili la kawaida!! Maana hata Rasimu ya Katibu ya Warioba nayo walikaa kama bunge kwa kuwa na wawakilishi kutoka sehemu tofauti tofauti ila kufanya maamuzi!!