Mama kwa vijana huyu!

mbona fresh tu...Raisi wa ufaransa anatoka na bibi yake...love is love
 
Muacheni mama wawatu ajilie pesa zake ... mmeanza lini kuingilia fantasy za watu ... mapenzi ni hiyari ya mtu aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Key word kwako
So is all about perception ukiona sio mwingine anaona ndio
All in all we do things that makes us happy
So mwingine anahtaj kijana may be sababu ya game mwingine anahtaja just cuddling so atamhitaj mzee mwenzie yote maisha
Love ya kunifanya niwe 53 nilale na
mwanaume wa 24 kwangu sio love ni laana na ni kinyaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…