Kwa vile wahusika wapo wawili mmoja hana budi kwenda kumchumbia mwengine na bado nasema hata hao waliowastaarabu huomba ridhaa ya wazee wa mwanamke kabla ya ndowa, sisemi uzinifu au kwenda serikalini. Huyo msichana angekuwa huru kukataa ili kuepuka mfumo dume.
Wewe unayetaka ku prove kwamba kuna flaws ndiye unatakiwa kuniambia mie flaws ni zipi, usisubiri nizi extract kama dentist anayetaka ku extract a molar.
Wakubwa wa nadharia ni wale wanaofikiri kwamba dunia hii haibadiliki, mwanamke anaolewa, mwanamme anaoa, mtoto wa kike anatakiwa kutaka kuolewa siku zote, na hawezi kukataa kuolewa hata kama jamii yake inamshurutisha kuolewa kwa mfumodume.
Wanaokata nadharia ni wale wanaosema dunia inabadilika, dhana ya kwamba mwanamke anaolewa na mwanamme anaoa inaweza kuwa challenged, mtoto wa kike anaweza kuchumbiwa akaona kuolewa gozigozi akataka kusoma, hususan kwa sababu ndoa zenyewe zimekuwa predicated katika mfumo dume unaomtaka yeye "aolewe" na mwanamme "amuoe".
Nani kasema kuna watu waliostaarabika duniani? Dhana nzima ya "kustaarabika" ni ya kumdharau muafrika kwa sababu mzizi wa neno "kustaarabika" ni "arabika" na "arab". Kwamba huwezi kuwa enlinghtened mpaka ugeze waarabu. Mi natafuta vingine, si kustaarabika, kwani kwangu mimi kustaarabika ni utumwa wa kumfuata muarabu.
Naenda kwa etymology, inayoangalia mizizi ya fikra katika mizizi ya maneno ya lugha.
Zaidi ya hapo, siamini kwamba kuna watu walio "enlightened" zaidi ya wengine kama nisivyoamini kwamba kuna zaidi kati ya mwanamke na mwanamme. Kuna wanawake wengine wako zaidi ya wanawake na wanaume wengi, kuna wanaume wengine wako zaidi ya wanawake na wanaume, lakini kama kuna tofauti kati ya wanawake na wanaume it is purely social, nothing inherent.
Kama vile kuna wazungu wengine walio zaidi ya waafrika, na kuna waafrika wengine walio zaidi ya wazungu, social, nothing inherent or biological.
Kwa msingi huu notion nzima ya "waliostaarabika" inakuwa suspect kama sio a relic of the past.
Kuna concepts zilizo enlightened, nyingine hazipo hivyo. Zaidi ya hapo, open season.
Eiyer, tuna mifumo mitatu ya ndowa katika jamii yetu nayo ni dini, mila na Serikali na nafikiri hakuna mfumo wowote unaomzuiya mwanamke kudai talaka. Usimfate Kiranga ambaye anatumia uhaba wa maneno ya Kiswahili kusema kuwa mwanamke hawezi kudai talaka. Kwani hao waliostaarabika hawana sheria na mpangilio wa mwanamke kudai talaka?
Hebu niambie katika mifumo mitatu hii upi haumruhusu mwanamke kudai talaka au kwa vile tunasema mwanamke ameachika,iwapo talaka kadai yeye au kapewa yeye?
Nimeongelea mengi sana tu, mpaka swala zima la "kuacha milango wazi" na mapenzi ya kweli.
Kama michango ya harusi mbona wengine tunachanga kila siku bila bajeti lakini kuoa hatutaki?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
Ustaarabu ni nini? mstaarabu ni nani? Hao wastaarabu ni kina nani?
Hivi bado hujatoka huko tu?
kwa nini mwanamke adai talaka?
Kiranga hajasema mwanamke hawezi kudai talaka, amesema mwanamke hawezi kutoa talaka, rudia kusoma. Comprehension muhimu sana.
Waliostaarabika ni nani? Wenye mfumo wa watu kuoana ikifika talaka wanatalikiana, hakuna cha kuomba. Sie ambao mwanamke anaolewa na kwa hiyo hawezi kutaliki ndio wenye tabia ya mwanamke kuomba talaka.
Mwanamke akiomba talaka na mwanamme akikataa kumpa talaka inakuwaje sasa? ukiomba si kuna kukubaliwa na kukataliwa?
Swala si mfumo upi unamzuia mwanamke kudai/kuomba talaka, swala ni, kwa nini mwanamke aombe talaka? kwa nini asiwe na uwezo wa kutoa talaka katika mfumo wetu?
Kiranga,kuna wakati unakua mgumu kuelewa na kueleweka.Mtafute ex spika umuulize wivu wa kike na wa kiume ni upi kwa sababu wewe ndo ulimnukuu at the first place,mimi nilikusaidia kuelewa kuwa hakusema wivu ni u-kike bali alisema wivu wa kike.Kuna tofauti kaji ya unaposema wivu ni tabia ya kike na unaposema acha wivu wa kike.Niliposema mfumo dume una mambo yaliyo vichwani nilimaanisha hayapo kwenye hali halisi,pia niliposema dhana mfumo ya dume sio mbaya yote nilimaanisha ina mazuri na ina nadharia zisizokuwepo kwenye uhalisia.Suala la viti maalum sikukulaumu wewe unless uwe mwanaharakati wa haki za wanawake!
Sasa hii nadharia yako umeipata wapi na inasimama kwa misingi ipi na mifano ipi?
Imani yako haiwezi kuwa imani yangu hata tutoke tumbo moja kama mapacha. Wewe usiowe lakini haimaanishi kuwa hutaki kwa vile ndowa ni kitu kibaya.
Ustaarabu ni mpango mzuri wa maisha ikiwamo pia kuheshimiana kwa mpangilio uliokubalika na jamii. Mstaarabu ni mwenye kufuata maisha ya mpangilio kwa mujibu wa jamii yake. Jee hilo ni baya kwako?
Mfumodume, ndiyo maana kuna maneno ya sifa kwa mwanamme kama "kiwembe" etc lakini kwa tabia hiyo hiyo mwanamke anadharauliwa na kuitwa "mama huruma" au "jamvi la wageni".
Ndiyo maana hata kwenye lugha yetu mwanamme "anaoa" na mwanamke "anaolewa".
Ndiyo maana hata kwenye utamaduni wetu mwanamke akimchoka mme wake "anaomba talaka yake", mwanamke hamtaliki mwanamme, mwanamme ndiye anamtaliki mwanamke katika Kiswahili, kwa sababu hata katika kuoa mwanamke hamuoi mwanamme, mwanamme ndiye anamuoa mwanamke.
Mfumodume.
Kiranga! Hii si issue ya mfumodume bali ndio utaratibu wa ndoa ulivyo. Ndoa hazikuanzishwa na wanadamu bali Mungu na Mungu ameweka rights na responsibilities za kila mwanandoa. Mwanaume ni kiongozi wa familia (kichwa) na mwanamke ni msaidizi. Wanadamu kwa bahati mbaya sana wanataka waendeshe mambo fulani bila kufuata miongozo wa waliyoyaanzisha. Mungu ametupa manual book ya marriage na kama tukifuata guidelines zetu wenyewe we will definitely land into trouble. We can not be wise than God. Kufuata matakwa yetu au miongozo yetu wenyewe ktk ndoa ni sawa na kujaribu kutumia manual book ya iphone kuendeshea mtambo wa caterpillar. It won't work. Leo ndoa zina matatizo mengi kwa sababu watu wanajifanya wajanja na ku-ignore mwongozo wa Mungu. God is the designer of marriage and like any other designer, He has given us marriage manual book to guide us on how to "operate" marriage. Mungu hakulazimishi kufuata guidelines zake lakini usipozifuata you suffer the consequencies