Mama Lulu atamani mwanaye afe tu

Mama Lulu atamani mwanaye afe tu

Haaaaa mie mwenyewe ni mmoja wa waliocomment shombo kule...

hahahhaha,Huyu mtoto ana moyo aisee mie huwa napita kimya kimya maana kublokiwa naogopa na kumsifia unafki siwezi,kama wale wengine eti tulikumis,Mara usisikilize ya watu,mara eti lulu kweli unapendwa ona mara hii umekuwa na followers wote hao,si unafki huu
 
Wakati mkewe anaendelea kumlilia mume...mchepuko ndio umeshaanua matanga na umeingia upya kwenye kambi ya kuendelea kuuza sura IG...

Ndio wanaume wajue hiyo michepuko inawapenda au inawatumia...

shikamoo dada!!

km mpo mnasoma hapa wenye michepuko
hebu mjifunze baas!!
 
Yaani GT3 mpaka yakupate ya kukupata ndio umkimbilie Mungu ? Kwanini usiwe na tabia ya kumcha Mungu wakati wote; wa raha na tabu? Sasa hivi bado upo karibu na Mungu wa kweli au ndio umekacha baada ya matatizo kwisha?

Mie ni mcha Mungu siku zote za maisha yangu na ndani yangu nahofu ya Mungu.
 
Hii sinema kama ile ya
Malkia wa nyuki gusa ufe
 
Alimpenda lakin Lulu anao wengi ndio maana hateterekiii

Kasema ana viwanja, nyumba na magari vp mbona hasemi kuwa ana UKIMWI pia? Ahahahah sitaki mie mdomo koma mdomo utaniponza ivooo 🏃🏃
 
Kasema ana viwanja, nyumba na magari vp mbona hasemi kuwa ana UKIMWI pia? Ahahahah sitaki mie mdomo koma mdomo utaniponza ivooo 🏃🏃

Hhhhhaaaaaaa jamaniii na wakome kumuita mtoto maana anachukua mababa 💃💃💃💃🙈
 
Hhhhhaaaaaaa jamaniii na wakome kumuita mtoto maana anachukua mababa 💃💃💃💃🙈

Muulizeni lulu anamfahamu dokta lema wa masana mbezi beach? Ahahahh sitaki mie umbea
 
Muulizeni lulu anamfahamu dokta lema wa masana mbezi beach? Ahahahh sitaki mie umbea

,mmmmmh tusimuliage basiii,ulimuona rio po alivyolia kwenye msiba wa kale katoto
 
,mmmmmh tusimuliage basiii,ulimuona rio po alivyolia kwenye msiba wa kale katoto

Yule rio kashashindikana na group lake, vijana wazuri, wachapakazi kazi kuiba waume za watu, nilimuona jana clouds anavyo judge mavazi ya wasnii, anavyojishaua sasa nikasema hatar
 
Amen.. Tujifunze zaidi kumtafuta Mungu kuliko shetani, lulu uko ulipo usijali tupo pamoja tunakuombea

Ni kweli kuna wakati wa kumnanga Lulu ila sio wakati wote au kwa kila jambo, bado Lulu ana nafasi ya kuwa dada/mama mzuri na bora kuliko wote wanaoandika humu kumuumiza.

Just change the way, the hope is always alive.
 
Back
Top Bottom