Hello Mdau,
Mama mjamzito anahitaji kula vizuri na kufanya mazoezi vizuri ili aweze kutunza afya yake na ya mtoto vizuri.
Akina mama wengi hawafahamu kuwa ni vyakula gani na ni aina gani ya virutubisho vinavyohitajika kwa ajili ya mwili wake pamoja na mtoto aliye tumboni.
Mfano mzuri ni kuwa mtoto aliye tumboni mwili wake unapojijenga Calcium nyingi sana hutumika kutoka kwenye mifupa ya mwili wa mama hivyo mama anahitaji sana kupata calcium kutoka kwenye aina ya vyakula. Mfano mwingine mama mjamzito huhitaji sana kuwa na damu ya kutosha mwilini na wapo wengine huenda dukani kununua vinywaji kama Ribena kwa ajili ya kuongeza damu. Mimi napenda nikushauri wewe mama mjamzito, wewe baba mtoto mtarajiwa kuwa mtunze vizuri mama na mtoto aliye tumboni ili azaliwapo aweze kuwa na afya bora ikiwa ni pamoja na kuwa na virutubisho vyote muhimu. Kwa ushauri zaidi ili kuweza kufahamu zaidi vitu vinavyohitajika niandikie kwa healthwealthfirst@gmail.com pia nina lishe na juice nzuri sana vilivyoandaliwa bila kutia kemikali kwa ajili ya afya ya mama mjamzito. Invest in your health first. waweza pia kuwasiliana kwa Bern(0713889162)
Mama mjamzito anahitaji kula vizuri na kufanya mazoezi vizuri ili aweze kutunza afya yake na ya mtoto vizuri.
Akina mama wengi hawafahamu kuwa ni vyakula gani na ni aina gani ya virutubisho vinavyohitajika kwa ajili ya mwili wake pamoja na mtoto aliye tumboni.
Mfano mzuri ni kuwa mtoto aliye tumboni mwili wake unapojijenga Calcium nyingi sana hutumika kutoka kwenye mifupa ya mwili wa mama hivyo mama anahitaji sana kupata calcium kutoka kwenye aina ya vyakula. Mfano mwingine mama mjamzito huhitaji sana kuwa na damu ya kutosha mwilini na wapo wengine huenda dukani kununua vinywaji kama Ribena kwa ajili ya kuongeza damu. Mimi napenda nikushauri wewe mama mjamzito, wewe baba mtoto mtarajiwa kuwa mtunze vizuri mama na mtoto aliye tumboni ili azaliwapo aweze kuwa na afya bora ikiwa ni pamoja na kuwa na virutubisho vyote muhimu. Kwa ushauri zaidi ili kuweza kufahamu zaidi vitu vinavyohitajika niandikie kwa healthwealthfirst@gmail.com pia nina lishe na juice nzuri sana vilivyoandaliwa bila kutia kemikali kwa ajili ya afya ya mama mjamzito. Invest in your health first. waweza pia kuwasiliana kwa Bern(0713889162)