Mama Mkanye Mwanao:Magoli ya Ndemla & Kazimoto


Msimu huo nani alikuwa Bingwa...?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hata hivyo Hard rock sio wa kwanza kufungwa 5,ulishapigwa wewe 5


Ilikuwa Tarehe 1/6/1968:

Yanga 5 vs 0 Simba

Maulid Dilunga (18 & 43),
Saleh Zimbwe (54 & 89),
Kitwana Manara (86)

Kizazi chenu cha miaka ya 90' hamuwezi kumbuka hii dozi. "Yanga was the first to bang you a handfull of Goals"
 
Bingwa wa mbereko za malinzi, mhaya mshenzy kuwahi kutokea!

Pogba wa tz nchi imekushinda!


Una maanisha Malinzi alikuwa Rais wa TFF tangu mwaka 1935...? Maana mataji 27 hatujaanza kuchukua leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…