Mama Mkanye Mwanao:Magoli ya Ndemla & Kazimoto

Mama Mkanye Mwanao:Magoli ya Ndemla & Kazimoto

Simba kufunga goli kama hizo ni kawaida sana nakumbuka Hillary Ochesa aliwahi kumfunga golikipa mzungu wa GONGO WAZI kutoka katikati ya uwanjani mpaka akazimia! Mechi hiyo chura tuliwakamua 4 kwa 3! Labda ulikuwa bado hujazaliwa demigod, chura ni timu ndogo pia kwa mjibu wa maelezo yako!

Pogba wa tz nchi imekushinda!

Msimu huo nani alikuwa Bingwa...?😀😀😀
 
Hata hivyo Hard rock sio wa kwanza kufungwa 5,ulishapigwa wewe 5


Ilikuwa Tarehe 1/6/1968:

Yanga 5 vs 0 Simba

Maulid Dilunga (18 & 43),
Saleh Zimbwe (54 & 89),
Kitwana Manara (86)

Kizazi chenu cha miaka ya 90' hamuwezi kumbuka hii dozi. "Yanga was the first to bang you a handfull of Goals"
 
Bingwa wa mbereko za malinzi, mhaya mshenzy kuwahi kutokea!

Pogba wa tz nchi imekushinda!


Una maanisha Malinzi alikuwa Rais wa TFF tangu mwaka 1935...? Maana mataji 27 hatujaanza kuchukua leo!
 
Back
Top Bottom